Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) inapenda kuwataarifu wadadisi wote waliohusika katika kazi ya kukusanya takwimu za Mapato na Matumizi ya kaya wa mwaka 2017/18 kuanzia Desemba 2017 hadi Novemba 2018, kuwa NBS ilikuwa inapeleka michango ya wanachama kwa kila mwezi GEPF sambamba na malipo ya mishahara ilivyokuwa ikifanyika. Ushahidi wa kuwasilisha michango hiyo GEPF upo.
Ofisi ya Taifa ya Takwimu inawatoa hufu wadadisi hao kwa kuwa michango yao iliwasilishwa katika ofisi za GEPF.
UTAWALA
OFISI YA TAIFA YA TAKWIMU
06 Februari, 2019
Sent using Jamii Forums mobile app
Ofisi ya Taifa ya Takwimu inawatoa hufu wadadisi hao kwa kuwa michango yao iliwasilishwa katika ofisi za GEPF.
UTAWALA
OFISI YA TAIFA YA TAKWIMU
06 Februari, 2019
Sent using Jamii Forums mobile app