QUALITY
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 853
- 115
kwa wale wafuatiliaji na ambao wangependa kujua kuhusu hii kesi, Itaanza kusikilizwa february 3, 2011 katika mahakama kuu hapa Dar es Salaam.
Taarifa hiyo ilitolewa jana katika viwanja vya Segerea stendi jana siku ya Jumamosi ambapo Mpendazoe aliongea na mamia ya wananchi waliofika kumsikiliza. Aliwaeleza kuwa wapiga kura wote wa Segerea na wapenda haki wengine wafike mahakamani ili kuonesha mshikamano na itakuwa ni ishara ya kuonesha kuwa wanasikitishwa na kitendo cha mahanga kuchakachua kura zao.
Taarifa zitaendelea kutolewa kadiri zinavyopatikana.
Taarifa hiyo ilitolewa jana katika viwanja vya Segerea stendi jana siku ya Jumamosi ambapo Mpendazoe aliongea na mamia ya wananchi waliofika kumsikiliza. Aliwaeleza kuwa wapiga kura wote wa Segerea na wapenda haki wengine wafike mahakamani ili kuonesha mshikamano na itakuwa ni ishara ya kuonesha kuwa wanasikitishwa na kitendo cha mahanga kuchakachua kura zao.
Taarifa zitaendelea kutolewa kadiri zinavyopatikana.