Zanzibar 2020 Taarifa hizi toka Visiwani Zanzibar zina ukweli?

Ccm wangewachia masheik angalau kuwapooza waznz lkn hata hili dogo walishindwa kulipigia hesabu mwaka huu . Wanadhani nguvu zitawasaidia
 
Magufuli, Mabeyo, Diwani na Sirro sasa ni rasmi washtakiwa watarajiwa katika mahakama ya kimataifa ya makosa ya Jinai kwa uhalifu dhidi ya binadamu.

Habari kutoka Zanzibar zinasema Jeshi limeua watu wengi sana Zanzibar
 
Hivi huyo aliyeasisi hiyo Kura ya tarehe 27 akipelekwa mahakani anaweza kujibu hili swali?

Hizo kura zikishapingwa kwanini zisihesabiwe sehemu husika eti zisubiri kesho yake Nani atakuwa shahidi kwamba ndo Kama zilivyopigwa na wakati Sheria inasema Kura zipigwe mbele ya kila chama kikiwa na wakala na kuhesabiwa kukiwa na wakala Sasa wao wanataka damu za watu au uchaguzi wa amani kwa vitendo.
 
Maalim Seif sio wakuchekea,kama ningekuwa karibu na huyu mzee ningemzibua makofi na mitama juu. kwa kuhamasisha watu kupiga kura siku ya trh 27.
 
Askari mmoja anapiga kura mara 6 au zaidi kwa Mwinyi halafu zinasambazwa kwenye vituo mbalimbali usiku huu.

Uchaguzi wa Zenji umeshaharibika.
Acha uongo, kuna kesho maisha yataendelea. Huo uchochezi wako uwe unafikiri na matokeo yake
 
Mbalamwezi ziko usawa wa Bahari...stay tuned ...WONING...NO PLESI TU HAIDI
Wazanzibari imefika wakati lazima wawe na silaha za moto,ikiwa wana uwezo wa Kuwa na kila kitu,silaha ndio solution ya kumaliza mauaji,kila mzanzibari mwenye uwezo hima awe na silaha ya moto,Pemba/unguja,halafu ipigwe mbiu ya mgambo.
 
Back
Top Bottom