Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,284
- 10,665
Ndo ujue wanakusanya Sadaka tuLeo maaskofu na masheike matako wote kimya
Ndo ujue wanakusanya Sadaka tuLeo maaskofu na masheike matako wote kimya
Labda angeuliwa mcccmLeo maaskofu na masheike matako wote kimya
MuuajiNani ameua ? Au mnatunga uongo
Hili halitakiwi kupita hivihiviLabda angeuliwa mcccm
Awamu hii imetusaidia kuwajua watumishi wa Mungu na mafarisayo hakika tumewaonaHili halitakiwi kupita hivihivi
hhhhHahaha Kupoteza Uhai sio Kazi Ndogo wewe endelea kukaa nyuma ya Keyboard broo Changia Changia tu
Nenda kafe mbona upo jfKangagani pekee waliokufa kwa kupigwa risasi ni 3 usiku huu.
Sasa usijaribu kunitibua! Najisikia kufa na siogopi kufa!
Ni kawaida ya watu kuamini sana uvumi na uongo kuliko kutaka kujua ukweli halisi. Na kipindi hiki uvumi utashika kasi sana na kuaminishwa kuwa ni ukweli.Mkuu huo ni uwongo usiamini
Pole mkuu! Jizuie kidogo!!Nina hasira sana! Sidhani kama nimewahi kupatwa na hasira kama usiku huu... Nina hasira sana!
Acha uongo, kuna kesho maisha yataendelea. Huo uchochezi wako uwe unafikiri na matokeo yakeAskari mmoja anapiga kura mara 6 au zaidi kwa Mwinyi halafu zinasambazwa kwenye vituo mbalimbali usiku huu.
Uchaguzi wa Zenji umeshaharibika.
Wazanzibari imefika wakati lazima wawe na silaha za moto,ikiwa wana uwezo wa Kuwa na kila kitu,silaha ndio solution ya kumaliza mauaji,kila mzanzibari mwenye uwezo hima awe na silaha ya moto,Pemba/unguja,halafu ipigwe mbiu ya mgambo.Mbalamwezi ziko usawa wa Bahari...stay tuned ...WONING...NO PLESI TU HAIDI