The Stress Challengerr
JF-Expert Member
- Jan 18, 2020
- 2,478
- 6,764
Bowie ni wewe ama kuna mtu amehack account yako?Kweli Alhaji Mzee mwinyi na umri wa miaka 95 anataka kwenda kaburini na damu ya wazanzibar. Allah Akbar kweli binaadamu wengine ni mashetani wakubwa