Twilumba
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 11,534
- 12,375
Katika pita pita huku na kule nimefanikiwa kupata hii taarifa iliyoleta kiza zaa Bungeni leo na kusababisha Waziri Balozi Kagasheki kujiuzuru, na wengine nafasi zao kutenguliwa na mh rais.
MY TAKE:
Lengo la hii operesheni halikuwa baya hata kidogo, Mh. Kagasheki amewajibika kwa sababu tatizo limetokea ndani ya wizara yake.
Ukweli ambao mimi nauona hapa kwa (mtazamo wangu) ni kwamba kuna syndicate fulani hapa imefanya jambo hili lionekane kubwa zaidi ya madhara ya ujangili na hivyo kufanya baadhi ya wahusika wakubwa kwenye hili wasibainike kitu ambacho hadi kwa hatua hii wameweza.
USHAURI:
Hata kama Kagasheki hatarudi kwenye cabnet, Operesheni hii isiwe mwisho, itafutwe namna nzuri ambayo haitaleta madhara kwa jamii ikiwa ni pamoja na majeshi kuelimishwa kuwa siyo vita lakini pia jamii kuelimishwa kutokuwa wakaidi wanapoobwa ushirikiano kwenye ufanikishaji wa kutokomeza ujangili.
Nasisitiza Kujiuzuru kwa Balozi Kagasheki ni auheni kwa majangili ambao wengi wao wapo kwenye mfumo wa sasa wa utawala!
MY TAKE:
Lengo la hii operesheni halikuwa baya hata kidogo, Mh. Kagasheki amewajibika kwa sababu tatizo limetokea ndani ya wizara yake.
Ukweli ambao mimi nauona hapa kwa (mtazamo wangu) ni kwamba kuna syndicate fulani hapa imefanya jambo hili lionekane kubwa zaidi ya madhara ya ujangili na hivyo kufanya baadhi ya wahusika wakubwa kwenye hili wasibainike kitu ambacho hadi kwa hatua hii wameweza.
USHAURI:
Hata kama Kagasheki hatarudi kwenye cabnet, Operesheni hii isiwe mwisho, itafutwe namna nzuri ambayo haitaleta madhara kwa jamii ikiwa ni pamoja na majeshi kuelimishwa kuwa siyo vita lakini pia jamii kuelimishwa kutokuwa wakaidi wanapoobwa ushirikiano kwenye ufanikishaji wa kutokomeza ujangili.
Nasisitiza Kujiuzuru kwa Balozi Kagasheki ni auheni kwa majangili ambao wengi wao wapo kwenye mfumo wa sasa wa utawala!