Wewe ni mbumbumbu kuliko watu wote duniani jibu hoja acha mapovu. Wewe huwezi kuwa CCM sana sana utakuwa mwanachama au mpiga debe wa Saccos ya Mbowe Chadema!Nasikitika kusema watu wa aina yako ndio wanafanya sisi mwanaccm tuonekane chama cha wajinga.
Hivi mmetokea wapi? Mbona wakati wa JK na Kinana hamkuwepo na upuuzi wenu huu?
Na ajabu ni kuwa hamna hata mshipa wa aibu hata kidogo.
Sent using Jamii Forums mobile app