mpimamstaafu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 4,445
- 4,704
Chama au Serikali iliyonunua?Ni gari jipya kabisa aina ya Toyota V8 Landcruizer mbalo limenunuliwa kwa fedha halali za Chama Cha Mapinduzi ili kurahisisha Utendaji kazi wa kila siku
Katibu Mkuu Dkt Bashiru Ally amehuhudhuria hafla hiyo na kukabidhi gari hilo kwa Uongozi wa CCM Mkoa wa Arudha akiambatana na Mh Humphrey Polepole ambaye ni Katibu Itikadi na Uenezi
CCM Mkoa wa Arusha imefanya vizuri kwenye kulinda,kukuza na kubuni miradi mbalimbali ya maendeleo sambamba na kuongeza vyanzo vya mapato
Hongera kwa CCM kwa matumizi sahihi ya rasilimali yanayoleta matokeo chanya.
View attachment 1699308View attachment 1699468View attachment 1699469