Taarifa: Chama cha Mapinduzi ( CCM) Mkoa wa Arusha chanunua Gari jipya la kisasa kurahisisha utendaji kazi

Ni gari jipya kabisa aina ya Toyota V8 Landcruizer mbalo limenunuliwa kwa fedha halali za Chama Cha Mapinduzi ili kurahisisha Utendaji kazi wa kila siku

Katibu Mkuu Dkt Bashiru Ally amehuhudhuria hafla hiyo na kukabidhi gari hilo kwa Uongozi wa CCM Mkoa wa Arudha akiambatana na Mh Humphrey Polepole ambaye ni Katibu Itikadi na Uenezi

CCM Mkoa wa Arusha imefanya vizuri kwenye kulinda,kukuza na kubuni miradi mbalimbali ya maendeleo sambamba na kuongeza vyanzo vya mapato

Hongera kwa CCM kwa matumizi sahihi ya rasilimali yanayoleta matokeo chanya.

View attachment 1699308View attachment 1699468View attachment 1699469
Chama au Serikali iliyonunua?
 
Baada ya DED wa v8 Geita kupigwa mkwara, kwamba ananunua gari wakati kuna wananchi wanashida mkoani humo, wananchi tumejitokeza kupongeza juhudi za chama tawala kujinunulia V8 ile ile kwa pesa zile zile za wananchi. Mi nadhani mitano tena haitoshi. Tufanye saba.
 
Ni gari jipya kabisa aina ya Toyota V8 Landcruizer mbalo limenunuliwa kwa fedha halali za Chama Cha Mapinduzi ili kurahisisha Utendaji kazi wa kila siku

Katibu Mkuu Dkt Bashiru Ally amehuhudhuria hafla hiyo na kukabidhi gari hilo kwa Uongozi wa CCM Mkoa wa Arudha akiambatana na Mh Humphrey Polepole ambaye ni Katibu Itikadi na Uenezi

CCM Mkoa wa Arusha imefanya vizuri kwenye kulinda,kukuza na kubuni miradi mbalimbali ya maendeleo sambamba na kuongeza vyanzo vya mapato

Hongera kwa CCM kwa matumizi sahihi ya rasilimali yanayoleta matokeo chanya.

View attachment 1699308View attachment 1699468View attachment 1699469
Wapumbavu hujisifia kwa vitu vya ajabu,kununua gari na kupiga picha ndio level ya akili zao mataga
 
Ni kweli ngoja tuendelee kuonekana cartoons nje ya mipaka yetu
 
Back
Top Bottom