King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,625
- 68,546
Ni gari jipya kabisa aina ya Toyota V8 ambalo limenunuliwa kwa fedha halali za Chama hicho Tawala ili kurahisisha Utendaji kazi wa kila siku..
Huyo MZee Pole pole si alikuwa Bungeni leo? Kapanda Pipa kaenda Arusha kuzindua gari tena??