Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 1,813
- 4,545
Taarifa binafsi ni taarifa zozote zinazohusiana na Mtu na ambazo zinaweza kumtambulisha Mmiliki wa taarifa hizo. Hizi ni taarifa ambazo Mtu anapaswa kuwa makini katika Matumizi yake ili kuepuka uwezekano wa kutumika vibaya
Taarifa hizi huusisha Majina, Anwani ya Nyumbani (location), Barua pepe (Email), Kitambulisho au Kadi ya Benki, Simu ya Mkononi hasa 'IMEI Number', taarifa za Matibabu, Vyeti vya Elimu na cha Kuzaliwa.