kufanakupona
JF-Expert Member
- Jun 18, 2015
- 522
- 417
Nimegoogle sana bila mafanikio.
Msaada wakuu wa huu wimbo, napendaga beat na maghani yake.
"Leee leee, leee leee, leee leee, nikifanya mimi mwapiga kelele, mkifanya nyinyi imekuwa gere, mnaota, mnaoota"
Msaada wakuu wa huu wimbo, napendaga beat na maghani yake.
"Leee leee, leee leee, leee leee, nikifanya mimi mwapiga kelele, mkifanya nyinyi imekuwa gere, mnaota, mnaoota"