katabu
JF-Expert Member
- Apr 19, 2011
- 309
- 41
Utakuwa unaota kama unasubiri kutambuliwa na kuheshimiwa (kwa mawazo unayotoa au mchango wako) kwa kuzingatia proffessional yako hasa ukiwa mtumishi wa umma!!!!! Sana wewe tetea ugali wako tu kwa kufanya vile watakavyo wenye dhamana na ajira yako. Yaani wafurahishe wakubwa ili watoto wako wapishane chooni.