amanindoyella
Senior Member
- Oct 13, 2009
- 104
- 9
Kumekuwa na tatizo kubwa la wahusika kutokufanyia kazi mara moja taa za kuongozea magari barabarani zinapoharibika! Nafikiri ni zaidi ya miezi miwili traffic light za magomeni hasa ukiwa unatokea ubungo kwenda buguruni hazifanyi kazi! Madereva wageni wamekuwa wakipata shida kubwa kutokana na kutowaka kwa taa hizo! Tafadhali wahusika fanyieni kazi adha hiiiiiiiiii