bestboy
Senior Member
- Oct 18, 2012
- 166
- 133
Wasimamizi wa barabara kama ni TARURA au TANROAD tunaomba mzifanyie setting upya taa za barabarani Changombe polisi kwani imekuwa kero kwa watu wanaotoka Serengeti kuelekea Temeke.
Barabara inayotokea maduka mawili inahudumia magari mengi ambayo yanaelekea Temeke au Tandika laakini zinapofika kwenye taa za kuongozea magari za changombe polisi setting ya taa nadhani haipo sawa maana zinaruhusu uelekeo wa Temeke tu huku zikizuia zinazoelekea Sokota.
Hali hii husababisha usumbufu usio wa lazima na kusababisha foleni kwa gari zitokazo mjini.
Ingependeza zikaruhusu kwa pamoja kwenda Temeke na Sokota ili kuondoa msongamano unaojitokeza kwa gari za nyuma ukizingatia barabara yenyewe haina waiting lane kwa gari zinazopinda kulia.
Tunaomba mlifanyie kazi hili.
Barabara inayotokea maduka mawili inahudumia magari mengi ambayo yanaelekea Temeke au Tandika laakini zinapofika kwenye taa za kuongozea magari za changombe polisi setting ya taa nadhani haipo sawa maana zinaruhusu uelekeo wa Temeke tu huku zikizuia zinazoelekea Sokota.
Hali hii husababisha usumbufu usio wa lazima na kusababisha foleni kwa gari zitokazo mjini.
Ingependeza zikaruhusu kwa pamoja kwenda Temeke na Sokota ili kuondoa msongamano unaojitokeza kwa gari za nyuma ukizingatia barabara yenyewe haina waiting lane kwa gari zinazopinda kulia.
Tunaomba mlifanyie kazi hili.