Alexander The Great
JF-Expert Member
- Aug 28, 2018
- 4,502
- 23,582
Itakua inajipa raha yenyewe tu, labda ni furaha ya Mama Samia kuapishwa kuwa Rais na CAG kumkabidhi report ya matumizi ya serikali, labda.
Rudi kwa yule fundi mueleze tatizo lilikuwa nini na umesharekebisha ili aone nomaNaomba kuleta mrejesho kulingana maada tajwa hapo ambayo niliileta kwenu majuzi. Kwanza niwashukuru kwa ushauri wenu hakika umekuwa msaada sana kiasi cha kuniokolea zaidi ya 400,000 maana nilikuwa nimeambiwa na fundi kufungua engine na kununua shaft. Nilifanyia kazi ushauri wa kusafisha straner na kweli ilikuwa chafu sana tena sana baada ya kusafishwa taa haiwaki tena. Ahsante sana ndugu zangu
Hata hiyo kazi nilimpa yeye huyo huyo nilimwambia fungua straner uisafishe. Alivyofungua akasema kweli alifanya makosa kusema shida ni engineRudi kwa yule fundi mueleze tatizo lilikuwa nini na umesharekebisha ili aone noma
Hongera mkuu.Hata hiyo kazi nilimpa yeye huyo huyo nilimwambia fungua straner uisafishe. Alivyofungua akasema kweli alifanya makosa kusema shida ni engine
Matatizo ya brake yanaoneshwaga na ABS sensor! Ukiona ABS imewaka ujue kuna shida mahali kwenye mfumo wa brake kuanzia oil level mpaka brake cylinder au speed sensor!Kwahiyo kwenye brake kinachotumika ni nini,au mwenzetu unatumia maji,sikupati vizuri mkuu..?
Unajua bado nilikuwa natafakari alichosema kichwa kinakataa...Kwan ukimpa ushauri wa kueleweka utapungukiwa nn........kama kitu ujui tulia humu hatupotoshani
, so oil ya kwenye breki na ya kwenye engine vyote vinazunguka pamoja.... Eti?!Kwahiyo kwenye brake kinachotumika ni nini,au mwenzetu unatumia maji,sikupati vizuri mkuu..?
Weka picha....Naomba kuleta mrejesho kulingana maada tajwa hapo ambayo niliileta kwenu majuzi. Kwanza niwashukuru kwa ushauri wenu hakika umekuwa msaada sana kiasi cha kuniokolea zaidi ya 400,000 maana nilikuwa nimeambiwa na fundi kufungua engine na kununua shaft.
Nilifanyia kazi ushauri wa kusafisha straner na kweli ilikuwa chafu sana tena sana baada ya kusafishwa taa haiwaki tena. Ahsante sana ndugu zangu