Taa mpya za Moroco jijini zagongwa

Nimekupata mkuu inawezekana kabisa unachokisema na inawezekana aliyegonga alitokea mwenge na pia inawezekana alikua speed na hakuona hako ka kona kadogo ka kulia kuweza kulinganisha barabara pana na barabara nyembamba anayoingia na ndo mana ajali ikatokea. unachokisema hapo hapo morocco kama unatoka posta na uko lane ya kulia pia kama ni mgeni ukinyooka moja kwa moja unaweza kuparamia tuta hivyo hapo utatakiwa kupinda kona kidogo kushoto kukwepa kupanda tuta lililo mbele yako kama ukinyoosha. sasa hapo tushauri mamlaka husika labda kungewekwa alama ya kuonyesha sasa unaingia barabara pana kama unatoka posta au nyembamba kama unatokea Mwenge
Hata wafanyeje! Mara nyingi causative agent kwa barabara hiyo huwa ni kinywaji. Sehemu za starehe ni nyingi sana mseneo yote hayo.
 
Ndio akili ya Mtu mweusi hiyo.

Anajua kuharibu tu na sio kubuni au kutengeneza.

Mwekee Mtu mweusi vyoo visafi vya kisasa mjini atajisaidia nje ya vyoo, atavunja sink, atapiga chata ukutani kuandika ujinga

Mwekee miundombinu ya daraja, Barbara au reli...ataandika matusi, hatajali kufanya usafi na atakojoa hovyo huko.

Mwekee Dustbin anatupa takataka nje ya dustbin na kukojolea chupa za maji na kutupa hovyo.

Watu weusi hawastaarabiki ASILANI
 
Blacks kokote tulipo tunamatatizo makubwa sana huo ndio ukweli, tunathamini ngono, pombe, ushirikina hata south bila mkaburu ingekua nchi ya kawaida sana hii gene inamatatizo ya asili yaani vibilization kwetu ni zero, tupo kama wanyama
 
Sio hizo taa tu njoo hapa ubungo uone ile fence ya daraja chini inachofanywa yaan mimi sielewi nini...
 
Alafu aliyezigonga anashangaa shangaa na kusubiri nani atakuja kumdai...

Hapo panahitaji umakini sana...
 
Angalizo zuri lakini umeandika kana kwamba aliyegonga kafanya kusudi ili aharibu hizo taa, umejiuliza gari yake ina hali gani huko aliko?

Ajali inaweza kumkuta kila mtu na inatokea wakati wowote. Ungejikita zaidi kwenye kusisitiza umakini wa barabarani lakini sio kulaumu uharibifu au utunzaji wa miundombinu hasa kwa kesi ya ajali.
 
Angalizo zuri lakini umeandika kana kwamba aliyegonga kwa kusudi ili aharibu hizo taa, umejiuliza gari yake ina hali gani huko aliko?

Ajali inaweza kumkuta kila mtu na inatokea wakati wowote. Ungejikita zaidi kwenye kusisitiza umakini wa barabarani lakini sio kulaumu uharibifu au utunzaji wa miundombinu hasa kwa kesi ya ajali.
sijalaumu ila nimesikitika kutokana na taa kuharibika mapema toka zianze kufanya kazi sio muda mrefu.
 
Kwa mzinga huo lazima hiyo gari itakuwa hapo ostarybay

Next time jarbu kuficha details zako naona hapo ist inaonekana na namba umeanika hapo kwenye kioo
Kama ni jamaa yako imekula kwake, haya ndiyo mambo yanayotukwamisha unataka afiche namba ili iweje??
 
jamani sisi watanzania kwa nini tunashindwa kutunza vitu vizuri tulivyonavyo? yaani nimesikitika sana jana nilipita maeneo moroco taa zilikuwepo leo napita nakuta zimegongwa vibaya sana (angalia picha) nahisi ni usiku wa kuamkia leo yaani hizo taa hazina hata miezi3 tangu zimeanza kufanya kazi nadhani hata uzinduzi bado lakini tayari wazee wa jiji wameshapita nazo kwa kweli watanzania tujifunze kutunza vitu vyetu na kupendezesha miji yetu. Tunaomba mamlaka husika zijitahidi kuzirudishia katika ubora wake haraka.

Nawasilisha.View attachment 1934904

Ujinga tu, kwani wewe ungekutana na lory la mchanga wangu wangu, na kupona ni kugonga mataa, ungekufa uyatunze?
 
Back
Top Bottom