Taa mpya za Moroco jijini zagongwa

Using a free mind, ajali barabarani ni kitu kinaweza kutokea. Namaanisha isitafsirike kuwa aliyegonga amegonga makusudi? Ili apate faida ipi wakati gari lake linaharibika na yeye mwenyewe au waliokuwa ndani ya gari wana risk kifo au ulemavu wa kudumu?

Hiyo ni ajali kama zingine. Jambo moja la kuangalia kwa makini ni kuwa kwanini zimegongwa kipindi hiki?

Ukiangalia utaona barabara imetanuliwa kuanzia morocco kuelekea mwenge, imekuwa pana na nzuri na haina humps bado! Lakini kwa mtu anayetoka Mbuyuni anakuja morocco au kuelekea mwenge ila barabara mpaka hapo morroco ni nyembamba (kulinganisha na mpya ya morroco - Mwenge).

Kwa mtu mgeni wa njia hiyo, hasa usiku mwingi ambao barabara ni nyeupe na hasa kama ametumia vileo au yuko high speed au vyote speed na pombe, kama anatokea mwenge akifika mataa ya morocco kama asipojua kwenye taa hizo anatakiwa akunje kidogo kulia ili aingie barabara nyembamba ya morocco - city center basi anazivaa taa hizo vizuri tu. Drivers wataelewa nasema nini hapa.
Hivyo hiyo ni ajali. Mbona hakugonga zingine zoote alikotoka akaja gonga hapo?
Maelezo meeengiii utadhani mwalimu wa NIT.... huyo ni mzembe na alipe ili iwe fundisho... Yaani mnataka mpaka kwenye hizo nguzo za taa wazungushie concrete block??
 
Stress za tozo hizo. Serikali mnauwa wananchi wenu kwa matozo yenu.
 
Maelezo meeengiii utadhani mwalimu wa NIT.... huyo ni mzembe na alipe ili iwe fundisho... Yaani mnataka mpaka kwenye hizo nguzo za taa wazungushie concrete block??
Hujawaza kwanini nguzo za taa zote kwa barabara hiyo ya morocco mwenge zimewekewa concrete block kutokea upande yanakotoka magari. Unadhani urembo huo?
Unaelewa maana ya free mind? Umewaza kuwa vyanzo vya ajali vinaweza kuwa zaidi ya uzembe? Kama ni break failure? Kama ni starring failure? Unadhani wanaokufa wote kwenye ajali ni uzembe? Acha kiburi cha uzima wewe!!
 
Using a free mind, ajali barabarani ni kitu kinaweza kutokea. Namaanisha isitafsirike kuwa aliyegonga amegonga makusudi? Ili apate faida ipi wakati gari lake linaharibika na yeye mwenyewe au waliokuwa ndani ya gari wana risk kifo au ulemavu wa kudumu?

Hiyo ni ajali kama zingine. Jambo moja la kuangalia kwa makini ni kuwa kwanini zimegongwa kipindi hiki?

Ukiangalia utaona barabara imetanuliwa kuanzia morocco kuelekea mwenge, imekuwa pana na nzuri na haina humps bado! Lakini kwa mtu anayetoka Mbuyuni anakuja morocco au kuelekea mwenge ila barabara mpaka hapo morroco ni nyembamba (kulinganisha na mpya ya morroco - Mwenge).

Kwa mtu mgeni wa njia hiyo, hasa usiku mwingi ambao barabara ni nyeupe na hasa kama ametumia vileo au yuko high speed au vyote speed na pombe, kama anatokea mwenge akifika mataa ya morocco kama asipojua kwenye taa hizo anatakiwa akunje kidogo kulia ili aingie barabara nyembamba ya morocco - city center basi anazivaa taa hizo vizuri tu. Drivers wataelewa nasema nini hapa.
Hivyo hiyo ni ajali. Mbona hakugonga zingine zoote alikotoka akaja gonga hapo?
ndio maana mjini kuna speed zake.

kuna popoma la mabawa lilipanda na noah yake hilo tuta la kati kati hapo hapo kuelekea mwenge,saa 05 alfajirina kuna kingo kama nchi 8 hivi.

mpaka nikashangaa huyu fala alikuwa amesinzia ama kalewa!!!

90% ya ajali za dsm usiku ni mtungi unahusika.
 
jamani sisi watanzania kwa nini tunashindwa kutunza vitu vizuri tulivyonavyo? yaani nimesikitika sana jana nilipita maeneo moroco taa zilikuwepo leo napita nakuta zimegongwa vibaya sana (angalia picha) nahisi ni usiku wa kuamkia leo yaani hizo taa hazina hata miezi3 tangu zimeanza kufanya kazi nadhani hata uzinduzi bado lakini tayari wazee wa jiji wameshapita nazo kwa kweli watanzania tujifunze kutunza vitu vyetu na kupendezesha miji yetu. Tunaomba mamlaka husika zijitahidi kuzirudishia katika ubora wake haraka.

Nawasilisha.View attachment 1934904
Ziliwekewa vizuizi?

Labda aliyegonga ni supplier wa bidhaa fulani
 
Traffic inabidi waende Rwanda hapo nauli kwenda na kurudi na posho haizidi Milioni wakajifunze wenzetu wamefunga ving'amuzi vya kutambua mwendo wa gari anayezidi faini anapigwa na kutumiwa direct kwenye simu yake na email pasipo mjadala ili kurekebisha tabia za madereva wasiofuata Sheria za barabarani
Nilitoa hii idea six years ago nikashambuliwa humu ati kudigitize mifumo kutawaua na njaa trafic police
 
jamani sisi watanzania kwa nini tunashindwa kutunza vitu vizuri tulivyonavyo? yaani nimesikitika sana jana nilipita maeneo moroco taa zilikuwepo leo napita nakuta zimegongwa vibaya sana (angalia picha) nahisi ni usiku wa kuamkia leo yaani hizo taa hazina hata miezi3 tangu zimeanza kufanya kazi nadhani hata uzinduzi bado lakini tayari wazee wa jiji wameshapita nazo kwa kweli watanzania tujifunze kutunza vitu vyetu na kupendezesha miji yetu. Tunaomba mamlaka husika zijitahidi kuzirudishia katika ubora wake haraka.

Nawasilisha.View attachment 1934904
Katiba mpya ndo mwarobaini wa mambo kama haya...
 
Ndio akili ya Mtu mweusi hiyo.

Anajua kuharibu tu na sio kubuni au kutengeneza.

Mwekee Mtu mweusi vyoo visafi vya kisasa mjini atajisaidia nje ya vyoo, atavunja sink, atapiga chata ukutani kuandika ujinga

Mwekee miundombinu ya daraja, Barbara au reli...ataandika matusi, hatajali kufanya usafi na atakojoa hovyo huko.

Mwekee Dustbin anatupa takataka nje ya dustbin na kukojolea chupa za maji na kutupa hovyo.

Watu weusi hawastaarabiki ASILANI
kuna mtu ameandika jina la kile kiungo pendwa cha wadada kwenye ukuta wangu, nimeona leo nimesikitika sana
 
Back
Top Bottom