Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 5,321
- 11,386
ABS inawaka ilitokea tu nlipeleka kwa fundi akarekebishe kwenye miguu kulikuwa kunapiga kelele...kukawa sawa kuchukua gari inawaka Taa ABS. hakunipa maelezo yanayoeleweka. Sitaki tena mrudishia.
Mfumo wa brake tulibadilisha ule mtungi wake na kile kikombe cha kuwekea mafuta ya break. Taa sasa inawaka sometime inazima...but nikicheck fluid ipo ya kutosha nini could be a reason?
Mfumo wa brake tulibadilisha ule mtungi wake na kile kikombe cha kuwekea mafuta ya break. Taa sasa inawaka sometime inazima...but nikicheck fluid ipo ya kutosha nini could be a reason?