Tuko
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 11,178
- 7,319
Nikiwa kwenye basi juzi niliona watu kadhaa wakiwa wamevalia fulana nzuri sana zenye hii nembo, ikiwa imeandikwa kwa maandishi makubwa na mazuri.
Sina hakika kama ni chama kinazitoa, au wamempa mtu tenda au ni wajasiriamali tu, bali naomba kama kuna anayefahamu zinakopatikana anijulishe nikatachukue kadhaa kwa ajili yangu na familia...
Sina hakika kama ni chama kinazitoa, au wamempa mtu tenda au ni wajasiriamali tu, bali naomba kama kuna anayefahamu zinakopatikana anijulishe nikatachukue kadhaa kwa ajili yangu na familia...