- Thread starter
- #41
Mimi sio fundi simu sina box...huyo fundi kama hana chimera au z3x nenda kwa fundi mwenye hizo box
Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
Ok Niko vijijini hakuna fundi mwingine zaidi ya huyu ila amesema akipata hiyo chimera anaweza fanya tu. Shida ndo sijui inapatikana wapi