Ngareroo
JF-Expert Member
- Aug 11, 2019
- 2,045
- 2,226
Jamaa hana maajabu bora ata FutureHuyo nipsey husle kabebwa kwa kiki za kifo chake wala hana maajabu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa hana maajabu bora ata FutureHuyo nipsey husle kabebwa kwa kiki za kifo chake wala hana maajabu
Out of topicJamaa hana maajabu bora ata Future
Grinding all my life unaijua? Rap Niggas unaijua pia?Huyo nipsey husle kabebwa kwa kiki za kifo chake wala hana maajabu
Upuuzi mtupu. Kuna mtu anaitwa Hopsin sijamuona hapo na nilitegemea mkongwe kama T.I lazima atakuwa ana appreciate/respect uwezo wa huyu mshikaji maana kuna vitu fulani anavyo ambavyo hata 2pac hakuwa navyo. Ila naona hapo huyu mkorofi amejaza wehu wenzie wazee wa kujaza matusi nyimbo nzima. Kwanza J. Cole hakutakiwa kutoka ndani ya 5 bora.T.I. weighs in on the Top 50 rappers debate.
What do you think of his rankings?
View attachment 1227378
Hii sasa ndo list siyo huo uharo wa TI
T.I. weighs in on the Top 50 rappers debate.
What do you think of his rankings?
View attachment 1227378
T.I. weighs in on the Top 50 rappers debate.
What do you think of his rankings?
View attachment 1227378
Huyo nipsey husle kabebwa kwa kiki za kifo chake wala hana maajabu
Xxxtentacion naye baada ya kulipuliwa ndio tukamuona kwenye chat ya billboard. Kiki za kifo ndizo zilimpandisha billboard na sio mzikiBinafsi nliposkia wamemshoot nikaenda kutafuta ngoma zake! Hamna nilichoelewa
Hiyo pia imekaa ki wack, real rappers hapo ni wakutafuta ila mumble rappers wamejaa nyomi.Hii sasa ndo list siyo huo uharo wa TI
Daah,kuna wanyamwezi nawaonaga kwa tv wanaimba balaa halafu sijawaona,hiyo list ya pili ni fake hata drake hayupoo,mfyuuuuuuuui
Duh mtoto wa kiume unatumia neno mfyuuuuuuuu!!
Duh aisee wanaume tunapungua wanabaki mapunga
Yes Off course I do real love Dance..Nacheza sana pia na innovate stylez zangu mwenyewe chaliangu..Kwann umeuliza ivo?Out of topic
Mkuu Unapenda dance?? Eidha kwa kuangalia au kwa ku perfom mwenyewe
Hahahahaa kwasababu ya hiyo avatar ya huyo dogo mateoYes Off course I do real love Dance..Nacheza sana pia na innovate stylez zangu mwenyewe chaliangu..Kwann umeuliza ivo?