Siku nyingi nilishalalama hapa jamvini I think 2008 lakini hakuna chochote kilichoendelea wakati niko home. Huku US tunauza m-a-t-a-k-o na biashara ni nzuri. Kataeni TiGo kwa nguvu zote. Kibaka mwingine ni TISIARAEI was-h-e-nzi sana, hawafuatliii wala ku-regulate chochote wamekaa tu kama mchuzi wa ngama. Kudaddadeki.
Hili tangazo hapa chini vipi?
bora tugome kupiga wala kupokea cm tuone wataibaje, wizi mtupu!
Siku nyingi nilishalalama hapa jamvini I think 2008 lakini hakuna chochote kilichoendelea wakati niko home. Huku US tunauza m-a-t-a-k-o na biashara ni nzuri. Kataeni TiGo kwa nguvu zote. Kibaka mwingine ni TISIARAEI was-h-e-nzi sana, hawafuatliii wala ku-regulate chochote wamekaa tu kama mchuzi wa ngama. Kudaddadeki.
Lipi hilo?