T.C.R.A Wanatumaliza; TiGO Nao Wanatunyofoa Ngozi, Chukua HATUA

Tigo ovyo sana! Kama si kuhofia kupoteza mawasiliano na wengi, [maana namba yangu ni ya enzi za mobitel] ningeitupilia mbali!
 
Unafikiria kuhamia mtandao gani wenye afadhali?. Voda kumeoza, Airtel kunafuka Moshi, Zanteli huduma zao ni za kupimiwa.
 
Ni bora wakafanya kama Vodacom kastama kea unalipia tsh 100 lkn ukipiga tu wanapokea fasta!ss jamaa zetu hawa hawaeleweki kbs,kisheria Tigo wametukosea wamepandisha bei bila kutangaza mean huu ni wizi,chombo kinachohusika na public any changes u must announce tO public via magazine,radio and promotion ili tujue lkn jamaa wamezidi wametuibia vya kutosha hpn tunafanya kitu mtawasikia kwenye bomba
 
yaaan hii kampuni wezi wakubwa tena wote tu hata hao eyatel ku mamazao wizi tu. tumechoooka kuibiwaaa.
 
Wizi mwingine wa tiGO ni unapompigia mtu mwingine Simu halafu hapatikani, Automatically wanakuunganisha na ujumbe wa sauti bila ridhaa yako na kukuchaji shilingi 45 kwa kila ujumbe.
 
Miezi ya hivi karibuni, kampuni ya simu ya Tigo imelalamikiwa sana kutokana na tabia zao za kihuni. Wamekuwa wakiwaibia wananchi mchana kweupe, na shirika letu la TCRA kushindwa kuchukua hatua yoyote licha ya malalamiko lukuki. Leo mchana, nimenunua vocha za Tsh 10,000 (yaani 5 mbli) nimehangaika sana kuziingiza bila ya mafanikio. Rafiki yangu ambaye nilienda kukutana naye pale Jacky’s akawa anajaribu kuweka naye kashindwa 5,000 nzima. Kwa pamoja tukajaribu sana kuwapigia kastama kea yao 0713-800-800 kwa takribani lisaa lizima, simu ikawa haipokelewi.

Wananchi, leo tunatangaza rasmi kuanza kuwasusia hawa majambazi. Tunajua serikali yetu imeoza na hakuna pa kupelekea malalamiko, TCRA yenyewe ndo hao wanaoenda shule na 2billion. Sasa kujikomboa dhidi ya hawa wezi ni kutupa smcard zao. Tunatangaza tarehe 08/11/2011 iwe ni siku ya kutokutumia laini za tigo. Zimekuwa ghali mno na ni wezi wa kutupwa. tafadhali sambaza ujumbe

Kunawakati nimekuwa nikiweka pesa zinakwisha haraka sana nikawa najifariji labda kwa vile natumia sim sana kumbe wanatufanyia kamchezo! Kwenda kwenye promotion wanatutangazia kama wehu, kurudi kwenye rate za ajabu wanapiga kimya kimya! Sasa basi kutokana na hayo nimeamua yafuatayo.
1. Nilikuwa na laini 3 za tigo, moja ninayo mimi nyingine home na moja ilikuwa ya kutumia week end na sikukuu zote napiga chini. Hizi pekee nilikuwa nawachangia not less than laki na ishirini kwa mwezi
2. My wife nimeshamwambia amalizie salio lililomo then aipige chini. Yanini kuzinguana wakati simu tunalipia
3. Ninawadogo zangu wawili wako chuo nao nawasubiria week end niwashauri wafanye kama kaka yao kwanza wamekuwa wakiniboa sana matangazo wakati napiga sim sijui hawajui kama hatupendi wao wanataka usikilize longolongo zao kisha ndio wakuambie unayempigia hapatikani
 
honestly hata mi tigo inaelekea kunishinda, nimekua fan wa tigo for long na nimewapigia debe sana lakini sasa naona hata mi naelekea kuywashindwa charges zimekua juu, customer care hawapokeagi simu, ujanja ujanja umekua mwingi, network nayo imekua shida.
 
Miezi ya hivi karibuni, kampuni ya simu ya Tigo imelalamikiwa sana kutokana na tabia zao za kihuni. Wamekuwa wakiwaibia wananchi mchana kweupe, na shirika letu la TCRA kushindwa kuchukua hatua yoyote licha ya malalamiko lukuki. Leo mchana, nimenunua vocha za Tsh 10,000 (yaani 5 mbli) nimehangaika sana kuziingiza bila ya mafanikio. Rafiki yangu ambaye nilienda kukutana naye pale Jacky’s akawa anajaribu kuweka naye kashindwa 5,000 nzima. Kwa pamoja tukajaribu sana kuwapigia kastama kea yao 0713-800-800 kwa takribani lisaa lizima, simu ikawa haipokelewi.

Wananchi, leo tunatangaza rasmi kuanza kuwasusia hawa majambazi. Tunajua serikali yetu imeoza na hakuna pa kupelekea malalamiko, TCRA yenyewe ndo hao wanaoenda shule na 2billion. Sasa kujikomboa dhidi ya hawa wezi ni kutupa smcard zao. Tunatangaza tarehe 08/11/2011 iwe ni siku ya kutokutumia laini za tigo. Zimekuwa ghali mno na ni wezi wa kutupwa. tafadhali sambaza ujumbe

Naunga Mkono Hoja 100%.
 
Nadhani mnaongea tu ilikuondoa machungu moyoni ,ukweli ni kwamba hamtaweza kuhama mtandao watigo mtaendelea kuibiwa tu ukumkitizama wizi huu...

Tigo ni sawa na CCM tunayo ilalamikia miaka yote na bado inaendelea kututawala na itaendelea kutawala... Watanzania ni watu wa ajabu sana sijapata kuona.
 
au TIGO nao wanataka tutii sheria ya ushoga kwanza ndio washushe bei. maana kuna mida huwa wanasepa na salio km hawana akili nzuri. km vp tuhamie upande wa pili wa robo shilingi ya saa5 usiku
 
Miezi ya hivi karibuni, kampuni ya simu ya Tigo imelalamikiwa sana kutokana na tabia zao za kihuni. Wamekuwa wakiwaibia wananchi mchana kweupe, na shirika letu la TCRA kushindwa kuchukua hatua yoyote licha ya malalamiko lukuki. Leo mchana, nimenunua vocha za Tsh 10,000 (yaani 5 mbli) nimehangaika sana kuziingiza bila ya mafanikio. Rafiki yangu ambaye nilienda kukutana naye pale Jacky’s akawa anajaribu kuweka naye kashindwa 5,000 nzima. Kwa pamoja tukajaribu sana kuwapigia kastama kea yao 0713-800-800 kwa takribani lisaa lizima, simu ikawa haipokelewi.

Wananchi, leo tunatangaza rasmi kuanza kuwasusia hawa majambazi. Tunajua serikali yetu imeoza na hakuna pa kupelekea malalamiko, TCRA yenyewe ndo hao wanaoenda shule na 2billion. Sasa kujikomboa dhidi ya hawa wezi ni kutupa smcard zao. Tunatangaza tarehe 08/11/2011 iwe ni siku ya kutokutumia laini za tigo. Zimekuwa ghali mno na ni wezi wa kutupwa. tafadhali sambaza ujumbe

Kuna mitandao mingi, achana nao kwani hujui wanachokifanya na TCRA
 
Hata kitengo chao cha tigo pesa ni wizi mtupu,cumission zao mbovu!,customer care nayo kimeo! Unahudumia mteja mmoja nusu saa !aaaaaagh bora kuhamia airtel wewe na jamaa zako

Hilo ndo jambo tunalotakiwa kulifanya hivi sasa. Tigo wamekuwa wezi kupindukia, wanapandisha rates bila kuwafahamisha wateja. Hakika mimi nimekuwa mteja wa tigo tangia mwaka 2003 nilipopata buum la kwanza chuo kikuu. Lakini kwa wizi huu, nimechoka. Awali nilikuwa nadhani wadogo zangu wananiibia vocha, but nikaja kugundua kumbe wanaoiba ni tigo wenyewe. Inaniuma sana kwakweli, hasa kwa kugundua tuliowapa dhamana ya kusimamia maslah yetu dhidi ya hawa mabepari wameshanunuliwa.
 
Back
Top Bottom