Rutunga M
JF-Expert Member
- Mar 16, 2009
- 1,769
- 1,382
Leo jijini Dar pale ubungo plaza,imezinduliwa report juu ya Media monitoring during 2010 election ambapo pamoja na mambo mengine imeeleza kuwa CCM ilipendelewa katika coverage kwenye radio ,tv na magazeti na katika upande wa mitandao wali-monitor Jamii forums na Issa Michuzi blog ambapo imeelezwa kuwa Issa Michuzi alipendelea CCM huku JF ikipendelea chadema.
Kuna mambo mengi yameongelewa lakini kwa ufupi habari ndiyo huyo.
Kwamba TBC 1 na mwananchi viliongoza kwa fair coverage kati ya vyombo 92 vilivyofuatiliwa ikiwemo JF na Issa michuzi
Walikuwepo waandishi kiibao,wawkilishi wa vyama vya siasa akiwemo Tambwe izza,mtatiro, nk
kijumla report hiyo unaweza kuipata hapa
Je, Synovate Tanzania wamesoma Footer ya JF?
usiku mwema
Kuna mambo mengi yameongelewa lakini kwa ufupi habari ndiyo huyo.
Kwamba TBC 1 na mwananchi viliongoza kwa fair coverage kati ya vyombo 92 vilivyofuatiliwa ikiwemo JF na Issa michuzi
Walikuwepo waandishi kiibao,wawkilishi wa vyama vya siasa akiwemo Tambwe izza,mtatiro, nk
kijumla report hiyo unaweza kuipata hapa
Je, Synovate Tanzania wamesoma Footer ya JF?
usiku mwema