mirindimo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 820
- 1,335
Ni ngumu kuamini kua kampuni kubwa kama synovate imeshindwa kuwalipa wafanya kazi wake wa mda kwa kile kinachodaiwa kua ni ukata ama ufisadi wa watu wachache katika kampuni hiyo! Walikwama morogoro walipokua wanakusanya data na kusaidiwa nauli za kurudi makwao na ndugu zao...mpaka dakika ya mwisho watafiti hao waling'ang'ania karatasi za tafiti walizokusanya data na kutimba nzao majumbani......! :washing: