Symbion Power: Intelligence watupu

Symbion iwe ya Rostam alafu anayefanya udunguzi awe Obama? Au pale Obama alipofungua symbion kwa kupiga danadana alikua anamuunga mkono Rostam? Hayo ni maswali ya kutaka kufunguliwa maana ninefungwa.

Mkuu Obama hakujua kinachoendelea, ilikuwa ni mbinu ya kupumbaza watanzania. Walitumia nguvu kubwa kuhakikisha wanampeleka. Time will tell, just keep fingers closed
 
Ni kweli aliyeleta IPTL ni yule alitetajw na Lisu. Huyu bwana mleta hoja msipuuze anachokisema. Hili kina ukweli na ndiyo maana watu walazimisha wale wanaohisi wao kwamba watawalinda kuwa Rais Wa JMWT. Wanafanya hivyo kulinda maslahi yao. Nchi ni yetu sisi tuwashukie Kama mvua na tukatae maovu yao!
 
Ni kweli kabisa mtoa Mada hili ni kamilfu na yakini Jk ypo El kadhalika bilashaka Tuombeni Mungu waumbuke nchi iende kwa Mpibzani UKAWA tujue kuchambua masuke na ngano
 
Nimetumia muda wangu mwingi kufuatilia maswala ya IPTL na Richmond/Symbion.
Kutoka kwa jamaa wa usalama wa taifa ambae anafanya kazi ikulu amenipa ukweli kuhusu mmiliki wa IPTL, Dowans, Richmond/Symbion.

Ukweli ni kwamba IPTL na Richmond ambayo kwa sasa ni Symbion zinamilikiwa na viongozi wa ngazi ya juu wa serikali. Viongozi wa juu akiwemo kiongozi wa juu kabisa (jina limehifadhiwa) ndiyo wanaomiliki haya makampuni. Seth na mmiliki wa VIP ndugu Rugemalila ni kama mawakala tu lakini wala si wamiliki halali wa makampuni haya. Mtoa habari ameniambia mashine hizo zilinunuliwa kwa kodi za wananchi, kwa kupitia miradi hii viongozi wa juu wa serikali wamejivunia mabilioni ya pesa tangu miaka 90.

Ameniambia kuwa mashine hizi unufaisha takribani viongozi 72 moja kwa moja akiwemo waziri mmoja aliejiuzuru. Kuna viongozi wa ngazi za chini wenye influence au wenye kujua habari hizi wakiwemo usalama wa taifa upewa mgao kidogo ili kuwanyamazisha, pia utumiwa kwenye kampein za uchaguzi. Aidha wale wasiopewa mgao ndio vinara wa kutoa nyaraka za siri na kuwapa wapinzani.

Jamaa anasema, baada ya kugundulika kuwa Richmond haina mmiliki pale ambapo Mwakyembe alipokuta Marekani hakuna Kampuni inayoitwa Richmond , viongozi wa juu walimfuata mwanaume mwenye asili ya Asia wakampa milioni 800 ili ajifanye kuwa yeye ndie mmiliki wa Richmond, lakini huyo mmiliki alikataa kabisa kupigwa picha alipokuja nchini, alihofia sura yake ingeonekana ingekuwa ni hatari sana nchini kwake. Aliefanya mchakato mzima wa kutafuta mmiliki fake wa Richmond ambayo kwa sasa ni Symbion ni Rostam aziz. Mpaka sasa Symbion inadai deni lenye utata la zaidi ya dola milioni 100, wakati ukifika zitalipwa

Mtonyaji anasema, ili kupata njia rahisi ya kukwapua pesa za IPTL, viongozi walizua kesi fake ili kupitia wakili fake waweze kulipana hizo pesa. Wakili aliechaguliwa ni Mkono. Mkono amepewa jumla ya bilioni 60 na kitu kwa ajili ya kesi, fedha hii ni nyingi sana, lakini kutoka kwenye fedha hizo yeye alikuwa anachukua kiasi na baadhi anawapa wakubwa serikalini. Inasemekana mgao wa fedha za makampuni haya ni mkubwa sana kiasi kwamba wengi wamehamua kufungua account nje ya nchi hasa kwa kutumia majina ya watoto wao, majina yanatumika ni yale ya kikabila/kinyumbani kiasi kwamba uwezi kuwatambua kirahisi.

Kwa hiyo wadau; IPTL na Symbion, Dowans ni changa la macho, zinamilikiwa na viongozi serikalini. Kuna document nazisubiri, nitazitupia hapa

Perepete za wabongo... ilmradi na yeye aonekane kaandika
 
Nadhani mtu makini mwenye timamu hawezi kuchangia hii kitu ni upuuzi mtupu. Simple minded discuss...........
 
Hivi inawezekana kuwa pale Muhongo alipokuwa anatajataja malipo kwa wakili mkono kuna kitu alikuwa anakisema kisailensa? Inawezekana kwakuwa Muhongo ni mpya huku serikalini hayuko kwenye umiliki na wenyewe ni wale ambao wamebobea sasa jamaa akawa na hasira sana kuona kuwa anabebeshwa mzigo usio wake? I am just saying... maana sanyingine umdhaniaye ndiye kumbe sie.
Halafu kitu kingine cha ukweli ni kwamba hamna mfanyabiashara yoyote duniani ataweza kugawa mabilioni yake kama njugu hivi hivi bila sababu. Pale vigogo wote waliopewa kuna kitu pale. Halafu mtu mzito serikalini akishagawiwa fedha vile na.mtu binafsi je.ataweza kuwa neutral tena? Hiyo tu tayari inawalakini kupokea hela ya mtu. Walitakiwa kuachia ngazi hapo hapo
 
Mtu kasema wanaohusika ni viongozi wakuu wa serikali hasa kiongozi wa juu kabisa na waziri aliyejiuzulu sasa nini hakutaja hapo
 
Ni kweli 200% yote aliyosema mleta mada. Hata 1.6 billion walizopewa baadhi ya watu mgawo wa escrow zimebeba wahusika ambao kuwapata si rahisi. I.e no traces.
 
Wasiwasi wangu mkubwa ni kuwa wewe Mleta mada uhai wako upo hatarini na huyo Usalama wa taifa wa hapo Ikulu anayekutonya hizo habari ndio maisha yake yameishapotea kwani ndani ya utawala huu wa awamu ya nne usalama wa Taifa wengi wamepoteza maisha kwa sababu ya kutovumilia uhalifu huo na kutoa taarifa ambazo zimewaponza kutolewa uhai wao.

Naomba hii nchi inunuliwe na Uingereza au Ujerumani. Ni bora kuibiwa na watu wa nje kuliko wa ndani. Mbwa akianza kuiba nyumbani huuawa.
 
Nimetumia muda wangu mwingi kufuatilia maswala ya IPTL na Richmond/Symbion.
Kutoka kwa jamaa wa usalama wa taifa ambae anafanya kazi ikulu amenipa ukweli kuhusu mmiliki wa IPTL, Dowans, Richmond/Symbion.

Ukweli ni kwamba IPTL na Richmond ambayo kwa sasa ni Symbion zinamilikiwa na viongozi wa ngazi ya juu wa serikali. Viongozi wa juu akiwemo kiongozi wa juu kabisa (jina limehifadhiwa) ndiyo wanaomiliki haya makampuni. Seth na mmiliki wa VIP ndugu Rugemalila ni kama mawakala tu lakini wala si wamiliki halali wa makampuni haya. Mtoa habari ameniambia mashine hizo zilinunuliwa kwa kodi za wananchi, kwa kupitia miradi hii viongozi wa juu wa serikali wamejivunia mabilioni ya pesa tangu miaka 90.

Ameniambia kuwa mashine hizi unufaisha takribani viongozi 72 moja kwa moja akiwemo waziri mmoja aliejiuzuru. Kuna viongozi wa ngazi za chini wenye influence au wenye kujua habari hizi wakiwemo usalama wa taifa upewa mgao kidogo ili kuwanyamazisha, pia utumiwa kwenye kampein za uchaguzi. Aidha wale wasiopewa mgao ndio vinara wa kutoa nyaraka za siri na kuwapa wapinzani.

Jamaa anasema, baada ya kugundulika kuwa Richmond haina mmiliki pale ambapo Mwakyembe alipokuta Marekani hakuna Kampuni inayoitwa Richmond , viongozi wa juu walimfuata mwanaume mwenye asili ya Asia wakampa milioni 800 ili ajifanye kuwa yeye ndie mmiliki wa Richmond, lakini huyo mmiliki alikataa kabisa kupigwa picha alipokuja nchini, alihofia sura yake ingeonekana ingekuwa ni hatari sana nchini kwake. Aliefanya mchakato mzima wa kutafuta mmiliki fake wa Richmond ambayo kwa sasa ni Symbion ni Rostam aziz. Mpaka sasa Symbion inadai deni lenye utata la zaidi ya dola milioni 100, wakati ukifika zitalipwa

Mtonyaji anasema, ili kupata njia rahisi ya kukwapua pesa za IPTL, viongozi walizua kesi fake ili kupitia wakili fake waweze kulipana hizo pesa. Wakili aliechaguliwa ni Mkono. Mkono amepewa jumla ya bilioni 60 na kitu kwa ajili ya kesi, fedha hii ni nyingi sana, lakini kutoka kwenye fedha hizo yeye alikuwa anachukua kiasi na baadhi anawapa wakubwa serikalini. Inasemekana mgao wa fedha za makampuni haya ni mkubwa sana kiasi kwamba wengi wamehamua kufungua account nje ya nchi hasa kwa kutumia majina ya watoto wao, majina yanatumika ni yale ya kikabila/kinyumbani kiasi kwamba uwezi kuwatambua kirahisi.

Kwa hiyo wadau; IPTL na Symbion, Dowans ni changa la macho, zinamilikiwa na viongozi serikalini. Kuna document nazisubiri, nitazitupia hapa


Wacha kuhangaika bure tafuta signature ya Wacha1 utafahamu wamiliki wa hayo makampuni ya kifisadi.
 
Back
Top Bottom