Bugududu Sududu
JF-Expert Member
- Apr 19, 2014
- 549
- 599
HUKO NI UMALAYA TU,
Ndio maana watu siku hzi hawana habari na huo UPUUZI.
Ndio maana watu siku hzi hawana habari na huo UPUUZI.
anamiaka 17Miss Mwanza Sylivia Sebastian, usiku huu wa leo amefanikiwa kutwaa taji la Miss Tanzania baada ya kuwashinda warembo wenzake 19 waliokuwa wanawania taji hilo
Sylivia baada ya kushinda taji la Miss Mwanza, alishiriki na kushinda pia taji la Miss Lake Zone
Kwa ushindi huo, Sylivia amefanikiwa kujipatia zawadi ya sh milioni 10 na kupata nafasi ya kuiwakilisha Tanzania kwenye mashindano ya Miss World
View attachment 1188671
Picha: Clouds Digital
Na tunasubiri pongezi tu kutoka kwa babaSafari hii wasukuma watashinda kila kitu.
Babu yao yupo ikulu.
Onywanebhe!Safari hii wasukuma watashinda kila kitu.
Babu yao yupo ikulu.
Hivi haya mashindano bado yapo siku hayana mvuto kama enzi za mwalimuMiss Mwanza Sylivia Sebastian, usiku huu wa leo amefanikiwa kutwaa taji la Miss Tanzania baada ya kuwashinda warembo wenzake 19 waliokuwa wanawania taji hilo
Sylivia baada ya kushinda taji la Miss Mwanza, alishiriki na kushinda pia taji la Miss Lake Zone
Kwa ushindi huo, Sylivia amefanikiwa kujipatia zawadi ya sh milioni 10 na kupata nafasi ya kuiwakilisha Tanzania kwenye mashindano ya Miss World
View attachment 1188671
Picha: Clouds Digital
Hivi haya mashindano bado yapo siku hayana mvuto kama enzi za mwalimuMiss Mwanza Sylivia Sebastian, usiku huu wa leo amefanikiwa kutwaa taji la Miss Tanzania baada ya kuwashinda warembo wenzake 19 waliokuwa wanawania taji hilo
Sylivia baada ya kushinda taji la Miss Mwanza, alishiriki na kushinda pia taji la Miss Lake Zone
Kwa ushindi huo, Sylivia amefanikiwa kujipatia zawadi ya sh milioni 10 na kupata nafasi ya kuiwakilisha Tanzania kwenye mashindano ya Miss World
View attachment 1188671
Picha: Clouds Digital
uAwamu ya 5 kila kitu kinatoka ziwani
Ashukuru marehemu,Mkurugenzi wa vipindi Mawingu alishatangulia mbele ya hakiMiss Mwanza Sylivia Sebastian, usiku huu wa leo amefanikiwa kutwaa taji la Miss Tanzania baada ya kuwashinda warembo wenzake 19 waliokuwa wanawania taji hilo
Sylivia baada ya kushinda taji la Miss Mwanza, alishiriki na kushinda pia taji la Miss Lake Zone
Kwa ushindi huo, Sylivia amefanikiwa kujipatia zawadi ya sh milioni 10 na kupata nafasi ya kuiwakilisha Tanzania kwenye mashindano ya Miss World
View attachment 1188671
Picha: Clouds Digital
Huyu kama Banyamulenge vileSylvia Sebastian( Kilumanga?,Nyanda?,warioba?,Masanja?,Matimbwa?)
Hapo mabano nasubiri jina lake la ukoo la Kibantu. Anayelifahamu tafadhali.
Nani anaweza kufanya upuuzi wa matangazo katika kipindi hiki ambacho biashara zimedoda, hata zawadi ni ndogo utafikiri anatafutwa miss wa mtaa.Kweli maisha yanakwenda kasi sana, yani now days hili shindano limekosa kabisa mvuto ama niseme halipati promo kama pale kitambo.
Yaani hili shindano lilikuwaga kitu kikubwa sana hapa Tanzania, hata uchaguzi mkuu haukuwahi kirindima kama shindano la Miss Tanzania.
Leo hii hata wasafi eti imekuwa kubwa hadi kupita shindano la Miss Tanzania.