sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Hana lolote hapo keshakubali sema anaogopa hapa kuna watu wengi, jaribu kumPM uone!Kanajifanya kagumu lakini nitatumia gia ya kukahonga kabajaji.
Hana lolote hapo keshakubali sema anaogopa hapa kuna watu wengi, jaribu kumPM uone!Kanajifanya kagumu lakini nitatumia gia ya kukahonga kabajaji.
we nitonye wewe,hivi una ubavu wa kumtunza SL? Huyu mtoto breakfast yake serena,lunch Hyatt,diiner spur masakai.SL ashakwambia kuwa dhahabu huwa ananunua gold souk dubai,shopping ya nguo kwenye ule mtaa nyuma ya saville row london,holiday hawaii,akiumwa hata chunusi john hopkins,utamweza weye?Unataka kumfundisha wewe tabia ya kupenda hela tatizo wewe unahonga sana halafu unaishia kushikwa kitambi tu
If yu kant bit zem join zem. Namimi nawatakieni maisha mema, katoto ka kwanza kama ni kadume mkaite klorokwini ili kawaletee baraka katika familia, mkikaita uporoto mjue mikosi itawaandama.Asante MS, angalau wewe umetutakia maisha mema, tutakupa kadi wa kwanza na siku ya harusi yetu utakaa meza kuu na maharusi ( nitonye and sweetlady)
WHO wakiona mhasibu wao nazalilishwa kama ivi wanaweza wakazuia misaada yao Tanzania.
Hahaha! Swahiba ndio mana umeondoka na wani ya saba, kumbe hata wewe umeshitukia mambo ya mtandaoni eeh?we hujui sifa zetu tukiwa mtandaoni swahiba? Kila mtu msafi, kila mtu ana mihela wakati wachovu tupo kibao. Stuka swahiba.
PM kanibloki bana! Lakini Mungu atanilipiaHana lolote hapo keshakubali sema anaogopa hapa kuna watu wengi, jaribu kumPM uone!
Hana lolote hapo keshakubali sema anaogopa hapa kuna watu wengi, jaribu kumPM uone!
Shukrani, karibu sana!Poa bi harusi mtarajiwa, nipo kwa ajili yenu.
PM kanibloki bana! Lakini Mungu atanilipia
Nitumie mimi ntamfowadia!...PM kanibloki bana! Lakini Mungu atanilipia
No bana, namfariji klorokwini manake anaeza kujiua jf tukakosa lawyer ati!navunja uswahiba kuanzia sasa hadi sa mbili kamili usiku wa leo.
Mkuu hili dongo mpaka mtu awe mtaalam ndio atlielewa! asante nimecheka sana!If yu kant bit zem join zem. Namimi nawatakieni maisha mema, katoto ka kwanza kama ni kadume mkaite klorokwini ili kawaletee baraka katika familia, mkikaita uporoto mjue mikosi itawaandama.
Kwa niaba ya hauzigeli wangu hapa ambae analala bila nguo za ndani naomba niibariki ndoa ya nitonye na sweetlady. amen
suali la kizushi: Ina maana ukishakuolewa ndio haunitumii PM tena? khaaa
No bana, namfariji klorokwini manake anaeza kujiua jf tukakosa lawyer ati!
Umeungana na Bishanga kunivunja mbavu zangu au?..lol...If yu kant bit zem join zem. Namimi nawatakieni maisha mema, katoto ka kwanza kama ni kadume mkaite klorokwini ili kawaletee baraka katika familia, mkikaita uporoto mjue mikosi itawaandama.
Kwa niaba ya hauzigeli wangu hapa ambae analala bila nguo za ndani naomba niibariki ndoa ya nitonye na sweetlady. amen
suali la kizushi: Ina maana ukishakuolewa ndio haunitumii PM tena? khaaa
Poa kamanda nimekaribia,niliwamiss pia, tunajarib kugawana majukumu ya halusi. Hela ya michango yote iwasilishwe kwangu, wewe tutakupatia jukumu la kumnunulia mkorogo bwana halusi asije akamtisha sweetlady siku ya churchMkuu hili dongo mpaka mtu awe mtaalam ndio atlielewa! asante nimecheka sana!
Karibu jamvini tena! Tulikumiss sana.
Ukiguna bila kusema chochote unamkondesha bi harusi mtarajiwa ujue, au unataka shela linipwae?mmmmh!
Ukiguna bila kusema chochote unamkondesha bi harusi mtarajiwa ujue, au unataka shela linipwae?
Hahahahahaaaaa! Mkorogo??? Daaah! Ndio mana ukipotea nakumiss..Poa kamanda nimekaribia,niliwamiss pia, tunajarib kugawana majukumu ya halusi. Hela ya michango yote iwasilishwe kwangu, wewe tutakupatia jukumu la kumnunulia mkorogo bwana halusi asije akamtisha sweetlady siku ya church
P= PendaPM ndio nini?