klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,648
- 5,139
hapo red sio lugha ya kiganga iyo?acha majungu we mtoto wa kigilagila.
hapo red sio lugha ya kiganga iyo?acha majungu we mtoto wa kigilagila.
du,ama kweli kufilisika kubaya,yaani toka umesikia TF kaondolewa kitengo cha makontena bandarini ndo unampotezea hivi,acha tu niugulie ndani.
hapo red sio lugha ya kiganga iyo?
hehehe utabiri pia unaendelea kusema kuwa huyu husninyo soon atakuwa Mrs Klorokwini na siku ya harusi atavaa viatu virefu atateleza nitamdaka. Atapata ujauzito ndani ya miezi miwili na kichefchef. Pia ujauzito wake utanifilisi sana kwani atapendelea zaidi karanga na korosho badili ya udongo.Mhhhhhh! KLQN lol! Sikujua kama yule Sheikh Yahya alikuachia mikoba yake. Uwe na weekend njema
hehehe utabiri pia unaendelea kusema kuwa huyu husninyo soon atakuwa Mrs Klorokwini na siku ya harusi atavaa viatu virefu atateleza nitamdaka. Atapata ujauzito ndani ya miezi miwili na kichefchef. Pia ujauzito wake utanifilisi sana kwani atapendelea zaidi karanga na korosho badili ya udongo.
Mkuu BAK na wewe ukuwe na weekend njema pia
I love you!Nimeamua kufunguka na kuweka hisia zangu wazi kwa huyu binti Sweetlady, sio siri moyo wangu unamiss sana. Popote pale ulipo sweetlady naomba naomba useme neno angalau moja roho yangu iweze kupona na haya maumivu.
Wizi uko matawi mengimaisha magumu nimeamua kuwa mganga. Nafukuza wachawi, narudisha ndoa zilizotengana, naongeza akili na uelewa kwa wanafunzi pia nayeyusha dhambi zote zinakuwa swawabu.
Wizi uko matawi mengi
I love you!
Khaaaa! kama namuona BAK anavochekelea vile, yaani mali ndani ya shela na lipustiki za halusi halaf inazamia geto lake?kwahiyo we mtabiri mi mganga. Mazimwi yangu yanasema siku ya harusi nitakataa kula kiapo, nitakimbilia nyumbani kwa BAK.
Khaa! Kama sijapost dakika 5 zijazo mjue nimezimia.I love you!
Khaaaa! kama namuona BAK anavochekelea vile, yaani mali ndani ya shela na lipustiki za halusi halaf inazamia geto lake?
Nimecheka kwa laudi spika ya klorokwini khaaa, maneno yako mazito ODM!Mnaoparamia wake za watu..... Mkijashikishwa ukuta mje muanzishe sredi mtueleze km mlifurahia au mliumizwa. Msijesema sijawaonya. SHAURI ZENU!
I love you!
Swahiba nitafutie nitonye popote alipo, mwambie mie nipo hapa kwaajili yake aseme chochote!khaaa! Swahiba ushalainika!
I love you!
Nimekusikia la'aziz,andaa na kiwanja kabisa,sera yangu nikimpenda mwanamke kwanza namtandika na nyumba mengine baadae,mimi ndo bishanga bana.haya na wewe ukipandishwa cheo uje ujisajili kwangu. Sawa bepari la kihaya?
Usizimie tafadhali manake nna mpango wa kukufanya nyumba ndogo yangu.... I love you ila nampenda zaidi yako!Khaa! Kama sijapost dakika 5 zijazo mjue nimezimia.
Swahiba nitafutie nitonye popote alipo, mwambie mie nipo hapa kwaajili yake aseme chochote!
Mwambie wewe umeleta ng'ombe 32...Hiyo nadhani ulipeleka posa na posa inaweza kukubaliwa au kukataliwa sasa naona ya kwako ilikataliwa. Jaribu kutafuta mwingine