sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Hahaha! We mjanja sana bana, daaah, wanipiga changa la macho hivi hivi! Haya bana ukae ukijua wivu sina ila roho inauma!Nilimwambia auache wazi ili nisije nikakusumbua kukuamsha kunifungulia
Hahaha! We mjanja sana bana, daaah, wanipiga changa la macho hivi hivi! Haya bana ukae ukijua wivu sina ila roho inauma!Nilimwambia auache wazi ili nisije nikakusumbua kukuamsha kunifungulia
Kaka umeona watu wanavyotaka kuvunja ndoa halafu ni huyu huyu mdogo wetu kabakabana
Shemu hata usijihangaishe kufungua bucha, nduguyo kanitenda we acha tu... Nawasiliana na mwenyekiti klorokwini arudishe michango yenu...
Huyu mtoto ni mmbea kweli anatoa maneno huku anayapeleka kule
Ntakucheki lunch time tuongee kwa kirefu...hope utakuwa pale pa siku zoteShemeji tulia... Wajua hasira hasara..
Haya mambo tutayasolve... Cheki na M/kiti na mkae kama kamati ndogo na ndoa iendelee.. Tafadhali shem... Itakuwa aibu watu wakija jamani...
Ntakucheki lunch time tuongee kwa kirefu...hope utakuwa pale pa siku zote
@ nitonye nimekununia!...
Ok... See You!poa shem wangu wa ukweli... Palepale..
za siku Asha?My sweet wifi.... what is this?? Nitonye hajui kua wewe mke wa mtu? mwambie asije akala life ban! lol
Siku zipi unazozijua wewe?za siku Asha?
we nae toka umemfumania nitonye na hausgel umekuwa mkaaaaaali,zinakuhuuuuu????Siku zipi unazozijua wewe?
Hulali?we nae toka umemfumania nitonye na hausgel umekuwa mkaaaaaali,zinakuhuuuuu????
Ndicho ulichokuwa unakitaka eh?
Huyu mtoto ni mmbea kweli anatoa maneno huku anayapeleka kule