kwahiyo b52 mi CACICO sasa nimekuwa CUTE????Eeeee ngoja SI apite huku uone kimavi chake?? wewe inaonyesha hata kwenye game ukinogewa, huchelewi kumtaja CUTE badala ya mkeo! hovyooooooo!
kwahiyo b52 mi CACICO sasa nimekuwa CUTE????Eeeee ngoja SI apite huku uone kimavi chake?? wewe inaonyesha hata kwenye game ukinogewa, huchelewi kumtaja CUTE badala ya mkeo! hovyooooooo!
Hahahahahaha wewe acha kunitafutia kesi lol....akitokea klorokwini hapa mie simo!
hahahaaaaa
ngoja aje aone mwenyewe
khaaa! yaani mimi muuza ustomach?
hii lazima niripoti kwa mods, vijana ageni kabisa ban yenu inatayarishwa
Teh sawa bi Watatu
Darling how are you?.......nilikuwa memiss wewe sana yaan bora ulivyokuja manake leo nisingeweza kupata usingizi kabisaa!.........Achana na majungu ya mleta mada wewe mwenyewe wajua vile nimekusave kwenye simu yangu!
am vere vere gud honey, nani kakuuzi leo nimalizane nae. Sjawahi kutukana JF lakini niko tayari kutukana na kulambwa ban kwa ajili yako. mapenzi yangu kwako hayapimiki. siku ukizimia tu basi mi najiuwa kabisa.
Kwanza :mwaaah: :mwaaah: :mwaaah: ........Afu mleta mada ( jina lake limenitoka kidogo ) ndie aliyeniudhi kwa siku ya leo.
Sasa unanitaftia mada kesi, mleta mada wenyewe tayari hana meno ya mbele sasa mi nikimtwanga nimng'oe nini?
duh we ntakuja kwako nikimchoka sweetlady
kwangu sina kibanda cha mlinzi, utakaa wapi?
Khaa!
Mh Mchimba Makaburi?Khaa!
Haya bana ngoja nami nibadili majina yenu kwa simu yangu fasta Kongosho ; Mkata Vimeo, Kariakoo sweetlady ; Bodaboda, Tegeta Erickb52 ; Mchimba Makaburi, Kinondoni Bishanga ; Muuza Sanda, Magomeni Rejao ; Mochware Lugalo gfsonwin ; Samaki, Feri Cantalisia ; Meneja , Matak.o Bar BAGAH ; Shoe Shiner Mwenge Preta ; Chipsi, Temeke
Dah nimecheka mpaka basi....hebu cheki simu ya mama matesha kuna mtu kamsevu 'amina msusi' mwongo huyo ni erickb52 kwa taarifa yako.Khaa!
Haya bana ngoja nami nibadili majina yenu kwa simu yangu fasta Kongosho ; Mkata Vimeo, Kariakoo sweetlady ; Bodaboda, Tegeta Erickb52 ; Mchimba Makaburi, Kinondoni Bishanga ; Muuza Sanda, Magomeni Rejao ; Mochware Lugalo gfsonwin ; Samaki, Feri Cantalisia ; Meneja , Matak.o Bar BAGAH ; Shoe Shiner Mwenge Preta ; Chipsi, Temeke