Prodigal Son
JF-Expert Member
- Dec 9, 2009
- 1,067
- 697
Ingeungua TU, haina maana yoyopte, kama ni habari tuna vyanzo mbadala vya habari hawa washenzi wanakula/ jiendesha kwa kodi za walala huo lakini wanakitangaza watawala tu
Naamini Tanzania inaweza ikawa mahali salama tena saana bila hawa wanafiki
wangekuwa waungwana wangekuwa kama DW ya Ujerumani
Naamini Tanzania inaweza ikawa mahali salama tena saana bila hawa wanafiki
wangekuwa waungwana wangekuwa kama DW ya Ujerumani