Ciprofloxacin.
JF-Expert Member
- Apr 15, 2015
- 1,583
- 2,696
Hii dhahiri kuwa serikali ya Sweden inatutafuta ugomvi wa wazi kabisa.
Kwanini imemtuma huyu mwanamke kuifanyia fujo nchi yetu huko Loliondo? Ukitaka kuamini kuwa Sweden inatuchokozi, hata baada ya huyu mwanamke kuzuiwa kuingia Tanzania na passport yake kupigwa muhuri unaomzuia kuingia Tanzania, bado serikali ya Sweden ilimpatia mwanamke huyu Jasusi passport #82562397 ya mwaka 2011 na kisha akarudi tena Tanzania kupitia Namanga na kuendelea kuichafua Tanzania mitandaoni, mtu aliyeingia katika taifa la watu kama mtalii anakujaje tena kuanza kuwa mwanaharakati na kuwatukana viongozi wa serikali?
Swali langu, Sweden inatutafuta nini?
Susanna Nordlund, Jasusi la Sweden lililotumwa Kwa kazi maalumu, serikali mkamateni huyu mtu hata kama anafanyia harakati zake Kenya.
Kwanini imemtuma huyu mwanamke kuifanyia fujo nchi yetu huko Loliondo? Ukitaka kuamini kuwa Sweden inatuchokozi, hata baada ya huyu mwanamke kuzuiwa kuingia Tanzania na passport yake kupigwa muhuri unaomzuia kuingia Tanzania, bado serikali ya Sweden ilimpatia mwanamke huyu Jasusi passport #82562397 ya mwaka 2011 na kisha akarudi tena Tanzania kupitia Namanga na kuendelea kuichafua Tanzania mitandaoni, mtu aliyeingia katika taifa la watu kama mtalii anakujaje tena kuanza kuwa mwanaharakati na kuwatukana viongozi wa serikali?
Swali langu, Sweden inatutafuta nini?
Susanna Nordlund, Jasusi la Sweden lililotumwa Kwa kazi maalumu, serikali mkamateni huyu mtu hata kama anafanyia harakati zake Kenya.