nawasalimuni wote mabibi na mabwana.
Jana nimekutana na classmate yangu fulani tulisoma naye halafu alivyoondoka nikajikuta napata swali.
Huyu classmate yangu ni wale wanaovaa hijabu ya kufunika hadi macho/kininja,sasa jana wakati natembea nikasikia mtu aliyevaa kininja akiniita,alikua ni huyu rafiki yangu tulisoma naye,yeye alinitambua lkn mimi nisingeweza kumtambua kutokana na jinsi anavyovaa.
Sasa swali langu ni kwamba,hivi wale wanaovaa vile/kininja wakipishana barabarani na wengine waliovaa vile wanawezaje kufahamiana.?
Mfano mimi ningekua nimevaa pia kama yule classmate yangu si asingeweza kunitambua eeh?
IN GOD WE TRUST!
thank you.
Jana nimekutana na classmate yangu fulani tulisoma naye halafu alivyoondoka nikajikuta napata swali.
Huyu classmate yangu ni wale wanaovaa hijabu ya kufunika hadi macho/kininja,sasa jana wakati natembea nikasikia mtu aliyevaa kininja akiniita,alikua ni huyu rafiki yangu tulisoma naye,yeye alinitambua lkn mimi nisingeweza kumtambua kutokana na jinsi anavyovaa.
Sasa swali langu ni kwamba,hivi wale wanaovaa vile/kininja wakipishana barabarani na wengine waliovaa vile wanawezaje kufahamiana.?
Mfano mimi ningekua nimevaa pia kama yule classmate yangu si asingeweza kunitambua eeh?
IN GOD WE TRUST!
thank you.