Wana Jamii!
Hivi kuna nafasi za kazi zilitangazwa na Hazina Mwezi huu wa nne kati ya Tarehhe 8 na 15?
Kuna mtu aliniambia kuna nafasi za Uhasibu zimetangazwa. Ni kweli?
Nisaidieni.
Nikweli lakini zilikua za agency ya manunuzi yaani Government Procurement service Agency (GPSA)