Swali

MwanajamiiOne

Platinum Member
Jul 24, 2008
10,470
6,562
habarini wanandugu

Kuna wakati nilishawahi kuuliza dalili kuwa mwenzio si mwaminifu kwako ni zipi nikashindwapata jibu. Sasa nauliza specifically maana kuna mdogo wangu kaja analalamika kuwa mumewe haeleweki siku hizi kila akija au yeye akienda (wanaishi mikoa tofauti) usiku lazima mume azime simu zake. Akimwuuliza anadai kuwa zina matatizo ya charge!! Yaani hata akiomba kurushiwa credits mr atawasha, amtumie kisha anazima.

sasa mie alivyoiweka kwangu naona ni kama mr anaavoid kugonganisha magari hewani au nakosea?

Je mkeo/mumeo akifanya hivi utafikiriaje?
2. Kafanye nini kutoa huu wasi wasi wake?
 
dalili zaonesha kunaweza kuwa na tatizo
lakini kuchimba zaidi kunaweza kumpa matatizo zaidi maana ndo atakutana na naked truth humo kwenye simu
 
Inaweza ikawa kichekesho kwa wengi hapa,hasa ukichukulia wanaume kwa wanawake tunajuana fika tabia zetu.
Ila ushauri wangu ni huyo ndugu yako asifikili vibaya ama mabaya,anachotakiwa afanye ni kuongeza UAMINIFU kwa huyo mwenza wake,yaani asitiliye shaka au hata kama anashaka shaka na tabia mpya ya huyo mwenza wake basi ajaribu kuficha hizo hisia zake na achukulie na kumuonyesha huyo muhusika kwamba yeye hajari na ni kawaida weither ana zima ama kuwacha wazi.
Nakuhakikishia this works,mabadiliko utayaona hata kama itachukua muda basi lakini lazima mabadiliko yatakuwepo.
 
kwa mm lazima nijue ananidanganya tu akuna lingine na atakuwa mshamba kiasi fulani inamana ana mke alafu kadanganya ana mke ndomana akifika kwa mke lazima azime cm kwani anaweza kupigiwa cm mda wowote
 
habarini wanandugu

Kuna wakati nilishawahi kuuliza dalili kuwa mwenzio si mwaminifu kwako ni zipi nikashindwapata jibu. Sasa nauliza specifically maana kuna mdogo wangu kaja analalamika kuwa mumewe haeleweki siku hizi kila akija au yeye akienda (wanaishi mikoa tofauti) usiku lazima mume azime simu zake. Akimwuuliza anadai kuwa zina matatizo ya charge!! Yaani hata akiomba kurushiwa credits mr atawasha, amtumie kisha anazima.

sasa mie alivyoiweka kwangu naona ni kama mr anaavoid kugonganisha magari hewani au nakosea?

Je mkeo/mumeo akifanya hivi utafikiriaje?
2. Kafanye nini kutoa huu wasi wasi wake?

MJ1,

Achana na mambo ya SIMU za mkononi!

Kila wanandoa waweke "policy" zao "re mobile phone usage"

Vinginevyo NDOA nyingi zitadondoka!
 
Bora akae kimya tu afumbe macho(afunike kombe mwanaharamu apite?) maana(pengine) anayoweza kuja kuyakuta kwenye hiyo simu yanaweza kuja kuleta maafa kwenye ndoa yake na kuihatarisha kabisa kisha akaanza kujuta kwa nini simu 'iliwashwa' badala ya kuzimwa kama ilivyo ada
 
MJ1,

Achana na mambo ya SIMU za mkononi!

Kila wanandoa waweke "policy" zao "re mobile phone usage"

Vinginevyo NDOA nyingi zitadondoka!

Si umeonae?
Mi bana mke wangu kugusa simu yangu ni STRICTLY PROHIBITED!
Hii yote ni kwa ajili ya kudumisha ndoa yetu!~
 
MJ1,

Achana na mambo ya SIMU za mkononi!

Kila wanandoa waweke "policy" zao "re mobile phone usage"

Vinginevyo NDOA nyingi zitadondoka!
Baba Enock leo umeamkia upande gani? Maana nondo unazotoa zimekwenda shule haswa.

Nakubaliana na wewe but yeye anaumia kwa kuwa anasema mbona akiwa yuko mokoani huko mumewe hazimi simu na ni mara nyingi tu yeye huwa anampigia simu na kukuta iko on pamoja na kuwa huwa hapokei!!

Mimi nadhani kuna umuhimu wa kuresearch athari za simu za mikononi kwa wanandoa ili hata tukikatazwa tuwe tuna reference lol.

Ila inatia dukuduku hasa unapoanza kuhisi kuwa mwenzio kabadilika!!
 
Bora akae kimya tu afumbe macho(afunike kombe mwanaharamu apite?) maana(pengine) anayoweza kuja kuyakuta kwenye hiyo simu yanaweza kuja kuleta maafa kwenye ndoa yake na kuihatarisha kabisa kisha akaanza kujuta kwa nini simu 'iliwashwa' badala ya kuzimwa kama ilivyo ada
i love this
 
Si umeonae?
Mi bana mke wangu kugusa simu yangu ni STRICTLY PROHIBITED!
Hii yote ni kwa ajili ya kudumisha ndoa yetu!~
X-Pin kujua kama simu iko on au la si lazima uikague bana, huyu shem wangu yeye akifika tu home usiku anazima matokeo yake sasa rafiki zake au ndugu wakiwa wanampigia inabidi wamcal kupitia kwa wife si ndo wife akamwuliza kwa nini kazima simu? Since then ni mwendo mdundo
 
Bora akae kimya tu afumbe macho(afunike kombe mwanaharamu apite?) maana(pengine) anayoweza kuja kuyakuta kwenye hiyo simu yanaweza kuja kuleta maafa kwenye ndoa yake na kuihatarisha kabisa kisha akaanza kujuta kwa nini simu 'iliwashwa' badala ya kuzimwa kama ilivyo ada

kweli kabisa......
ufukunyuku unaweza ukaleta tatizo kubwa zaidi. akae zake kimya tu!!! she is the wife hao wengine huko watajiju.....
 
dalili zaonesha kunaweza kuwa na tatizo
lakini kuchimba zaidi kunaweza kumpa matatizo zaidi maana ndo atakutana na naked truth humo kwenye simu
Hapa si ndipo tunapotakiwa kujua? Ndoa ni ukweli na uaminifu sasa tukikubaliana na hali hii ina maana tunaidhinisha kuwa wenzi wetu ni macheaters and that's how they are so tuchukuliane nao hivyo hivyo?? dunia ya sasa ?

Mimi nilifikiri kuwa mtu unatakiwa kuwa makini mara tu unapoanza kuhisi dalili zisinzo nzuri kwa mwenzi wako?

mimi nimemwambia ni dalili ya kucheatiwa so awe makini lakini kwa ushauri wenu naona nimetokota!!
 
Jamaa lazima atakuwa na Kimada huko anakoishi. ukishaona mwenzi wako ana zima zima simu uiwepo baaasi jua unamegewa mali zako.
 
Jamaa lazima atakuwa na Kimada huko anakoishi. ukishaona mwenzi wako ana zima zima simu uiwepo baaasi jua unamegewa mali zako.

hivi huyo ndio afanye umzime cm mke wako wa ndoa? sio yeye apewe masharti mke anapocal akae kimya?...kazi ipo.
 
inawezekana kweli cmu inatatizo la charge..............kama haamini ashuhudie mwenyewe ikichargiwa na iwashwe mpaka asubuhi ili aone kama tatizo la msingi ndio hiklo au kuna lingine baada ya hapo afatilie mambo mengine..........njia ya mwongo ni fupi sana...
 
kweli kabisa......
ufukunyuku unaweza ukaleta tatizo kubwa zaidi. akae zake kimya tu!!! she is the wife hao wengine huko watajiju.....

Basi mimi ninaishi dunia ya kufikirika mwenzenu!! na magonjwa haya yaliyopo? itanichukua muda kweli kuafikiana na hii but it seems ndo art
 
Hapa si ndipo tunapotakiwa kujua? Ndoa ni ukweli na uaminifu sasa tukikubaliana na hali hii ina maana tunaidhinisha kuwa wenzi wetu ni macheaters and that's how they are so tuchukuliane nao hivyo hivyo?? dunia ya sasa ?

Mimi nilifikiri kuwa mtu unatakiwa kuwa makini mara tu unapoanza kuhisi dalili zisinzo nzuri kwa mwenzi wako?

mimi nimemwambia ni dalili ya kucheatiwa so awe makini lakini kwa ushauri wenu naona nimetokota!!


mhhhhh......
 
Hapa si ndipo tunapotakiwa kujua? Ndoa ni ukweli na uaminifu sasa tukikubaliana na hali hii ina maana tunaidhinisha kuwa wenzi wetu ni macheaters and that's how they are so tuchukuliane nao hivyo hivyo?? dunia ya sasa ?

Mimi nilifikiri kuwa mtu unatakiwa kuwa makini mara tu unapoanza kuhisi dalili zisinzo nzuri kwa mwenzi wako?

mimi nimemwambia ni dalili ya kucheatiwa so awe makini lakini kwa ushauri wenu naona nimetokota!!
Sasa my dear akishajua si ndio vita inaanza?? labda sijui amuulize kwa style gani...
ndoa inapaswa kuwa yenye uaminifu lakini ulimwengu tuishimo mambo mengi yamebaki ya kusadikika tu.....
 
Hapa si ndipo tunapotakiwa kujua? Ndoa ni ukweli na uaminifu sasa tukikubaliana na hali hii ina maana tunaidhinisha kuwa wenzi wetu ni macheaters and that's how they are so tuchukuliane nao hivyo hivyo?? dunia ya sasa ?

Mimi nilifikiri kuwa mtu unatakiwa kuwa makini mara tu unapoanza kuhisi dalili zisinzo nzuri kwa mwenzi wako?

mimi nimemwambia ni dalili ya kucheatiwa so awe makini lakini kwa ushauri wenu naona nimetokota!!

MJ1 unamaanisha nini kusema AWE MAKINI? Ampige chini au avumilie au aanze kutumia kondom? Hizo si DALILI za kuchitiwa. Ni kwamba anachitiwa tayari!
 
Back
Top Bottom