Swali; Wallace Karia anaweza kumiliki timu inayoshiriki ligi kuu hapa Tanzania?

sepema

JF-Expert Member
Jun 13, 2019
591
1,000
Salaam kwenu,

Kama swali linavyouliza. Inawezekana rais wa TFF kumiliki timu yaligi kuu akiwa madarakani?

Kama inawezekana sitakuwa nabswali lingine, kama haiwezekani nina swali lifuatalo;

Patrick Motsepe ni rais wa CAF. Mheshimiwa huyu anaimiliki klabu ya soka ya Mamellody Sundowns ya pale S. Afrika.

Klabu hii kwa miaka kadhaa imekuwa ikishiriki mashindano mbalimbali ya vilabu inayoandaliwa na CAF. Swali ni je, hakuna mgongano wa maslahi kwa Motsepe katika kutekeleza majukumu yake Kama rais wa CAF na Kama mmiliki wa klabu?

Mfano; Ikatokea klabu ya Mamelod imekutwa na utovu wa nidhamu, kamati za CAF zinaweza kutoa adhabu mathalani kuifungia bila kupepesa macho?

Au sheria za CAF na mashirikisho ya michezo ya nchi zinatofautina?

Wasalaam!
 
WALLACE HANA HUO UWEZO ZAIDI YA KUTOA HUKUMU ZA KISOMALI TU
Mkuu,nilimtaja Karia kwa kuwa yeye ndo rais wa TFF kwa sasa.Hoja yangu ilijikita zaidi kwenye nafasi ya uraisi na umiliki wa timu sio mtu Kama mtu.
 
Wallace Karia anaweza kumiliki tumbo tu na majungu. Uwezo na akili ya kumiliki timu ya mpira wa miguu, kiukweli hana.

Hivyo ni bora tu ukamtolea mtu mwingine huo mfano wako, ili uwe na uhalisia.
dawa 3 zinapatikana Tz nzima!!! Ushindwer wee tyuh.
 
Salaam kwenu,

Kama swali linavyouliza. Inawezekana rais wa TFF kumiliki timu yaligi kuu akiwa madarakani?

Kama inawezekana sitakuwa nabswali lingine, kama haiwezekani nina swali lifuatalo;

Patrick Motsepe ni rais wa CAF. Mheshimiwa huyu anaimiliki klabu ya soka ya Mamellody Sundowns ya pale S. Afrika.

Klabu hii kwa miaka kadhaa imekuwa ikishiriki mashindano mbalimbali ya vilabu inayoandaliwa na CAF. Swali ni je, hakuna mgongano wa maslahi kwa Motsepe katika kutekeleza majukumu yake Kama rais wa CAF na Kama mmiliki wa klabu?

Mfano; Ikatokea klabu ya Mamelod imekutwa na utovu wa nidhamu, kamati za CAF zinaweza kutoa adhabu mathalani kuifungia bila kupepesa macho?

Au sheria za CAF na mashirikisho ya michezo ya nchi zinatofautina?

Wasalaam!
Mamelod ina kitu tunaita legal personality. Masuala yake hayamgusi mmiliki moja kwa moja bali uongozi wa timu.
 
hoja yako inamashiko sana.
simkumbuki ni nani lakini kuna kiongozi mmoja wa FIFA raia wa France amekiri wazi mwaka huu,kwenye fainali za world cup miaka ya 2000's aliwai mara kadhaa kupanga matokeo kwenye ratiba za michuano ili kuipendelea ufaransa isikutane na wababe waliowahofia kipindi icho.
 
hoja yako inamashiko sana.
simkumbuki ni nani lakini kuna kiongozi mmoja wa FIFA raia wa France amekiri wazi mwaka huu,kwenye fainali za world cup miaka ya 2000's aliwai mara kadhaa kupanga matokeo kwenye ratiba za michuano ili kuipendelea ufaransa isikutane na wababe waliowahofia kipindi icho.
Itakuwa 2002 maana baada ya kuchukua WC 1998 iliyofuata Ufaransa ilitaka kulazimisha kuchukua lakini ikapigwa mapema.
 
Kuna watu wema wakifariki Dunia uwa tunamwomba Mungu azilaze Roho zao mahala pema ila wengine tunamwomba Mungu azilaze Roho zao mahala panapostahili!
 
Sijui kanuni zikoje TFF Siku CEO wa simba sc au ENG hersi wakigombea urais tff tutajua vzr hili swali lako
 
hoja yako inamashiko sana.
simkumbuki ni nani lakini kuna kiongozi mmoja wa FIFA raia wa France amekiri wazi mwaka huu,kwenye fainali za world cup miaka ya 2000's aliwai mara kadhaa kupanga matokeo kwenye ratiba za michuano ili kuipendelea ufaransa isikutane na wababe waliowahofia kipindi icho.
Namimi wasiwasi wangu Ulikua hapa kwenye upendeleo mkuu.
 
Back
Top Bottom