nyumbamungu
JF-Expert Member
- Mar 3, 2017
- 994
- 821
Jana nilishuhudia malumbambano kati ya Kondakta na Mlinzi alievaa sare yenye nembo ya SUMA JKT, kuhusu kulipa nauli kwenye Basi, wapo baadhi ya abiria walikuwa wanaunga mkono hoja ya Kondakta kwamba wanapaswa kulipa na wengine wakisema wao wapo chini ya JWTZ.
Kwa wenye kufahamu utaratibu na kanuni zinazotumika kutowatoza nauli Polisi, Magereza, Mwanajeshi, nk atufahamishe kuhusu SUMA JKT!!!
Kwa wenye kufahamu utaratibu na kanuni zinazotumika kutowatoza nauli Polisi, Magereza, Mwanajeshi, nk atufahamishe kuhusu SUMA JKT!!!