othuman dan fodio
JF-Expert Member
- Jan 2, 2018
- 5,578
- 8,913
Habari wanamember wenzangu, kwa siku za hivi karibuni katika sekta ya elimu kumekuwa na utekelezaji wa agizo la wizara ya elimu/Tamisemi kama sikosei la kuhamisha baadhi ya walimu wa sekondari hasa wale wa masomo ya sanaa (arts) kwenda kufundisha shule ya msingi. sasa swali langu ni hili: hawa walimu watakuwa chini ya nani kati ya hawa, afisaelimu sekondari au afisa elimu msingi? kwawale wenye uelewa tu wasuala hili karibuni tujuzane wewe ambae unajijua hujui chochote kuhusiana na hiki nilichokiandika pita mbali kabisa. Karibuni.