Hawa jamaa wanahistoria mbaya huku nyumbani, kama mtakunikubali mbunge kwa mfano ikiwa amekaa ubunge miaka 15, siku akiondoshwa tu anakua maskini, kuna kitu gani hapo dodoma wanafanya hawa wabunge wetu? au wabunge wetu wanahofia kuvunjika muungano kwakua kuna vitu adimu wanapata huko TANGANYIKA na huku kwetu hakuna?