wote wenye akili timamu tupo CHADEMA
Ben,
Kuna vigezo vingi sana tunatumia kufanya tafiti ndogo, ikiwa ni pamoja na kuuliza maswali.
Hivi unavijua vigezo vya mtu kuitwa mwanachama wa chama fulani??
Hakika...
JF Salaam,
Naomba tujiulize, hivi vijana wengi wa Tanzania wako chama gani kati ya CCM na Chadema??
JF Salaam,
Naomba tujiulize, hivi vijana wengi wa Tanzania wako chama gani kati ya CCM na Chadema??
nadhani hili ndilo swali la kijinga zaidi kwenye jukwaa hili tangu kuanza kwa mwaka 2013 .Hivi cdm makao makuu wanajua idadi ya vijana walio ndani ya umoja/chama wao/chao??
Hivi cdm makao makuu wanajua idadi ya vijana walio ndani ya umoja/chama wao/chao??
Wengi wapo ccm,mfano mwigulu,lusinde,nape na makamba jr
Waliopo CHADEMA ni WACHACHE ila ndio BORA ZAIDI. Waliopo ccm ni wengi kwa idadi ila kichwani hamna kitu, wanarithi ufisadi wa wakubwa wao tu!
Vijana wengi wako kwenye chama kinachoshinda uchaguzi...
pamoja na mapungufu makubwa uliyonayo , lakini ngoja nikusaidie kitu, KWENYE MASUALA YA POSHO , vijana wengi wako ccm , maana tumewaruhusu wakazitafune ,ni zao ! hakuna haja ya kujivunga ! ( REJEA NGUMI ZA MARA KWA MARA PALE UVCCM ) , bali kwenye SANDUKU LA KURA wako chadema tena kwa kujitolea ! kwa ajili ya kushiriki kwenye ukombozi wa nchi , JE UMEELEWA ?
wapo CDM mkuu, wewe unauliza jibu