NKUU SINDE KWETU
JF-Expert Member
- Jun 26, 2013
- 830
- 91
JF Salaam,
Naomba tujiulize, hivi vijana wengi wa Tanzania wako chama gani kati ya CCM na Chadema??
Naomba tujiulize, hivi vijana wengi wa Tanzania wako chama gani kati ya CCM na Chadema??
JF Salaam,
Naomba tujiulize, hivi vijana wengi wa Tanzania wako chama gani kati ya CCM na Chadema??
Unajua mtu wa kiwango chako na ilunavyopenda kujipambanua hustahili kuuliza maswali hapa kama vile uko baa.
Unauliza vijana wengi ndani ya vyama hivi based of quantitave au qualitative analysis?
weng ni cdm mkuu! Mbona hilo liko waz
Ben,
Kuna vigezo vingi sana tunatumia kufanya tafiti ndogo, ikiwa ni pamoja na kuuliza maswali.
Hivi unavijua vigezo vya mtu kuitwa mwanachama wa chama fulani??
Ukiona Kijana anashabikia CCM ujue uzeeni atakuwa Mchawi tu
wako CCM
wako CCM
Hakika...
weng ni cdm mkuu! Mbona hilo liko waz
wote wenye akili timamu tupo CHADEMA
wote wenye akili timamu tupo CHADEMA
Mkuu una kadi na unashiriki katika shughuli za chama??