Muulize Andrew Chenge atakutajia wachawi wenzake magambani!Ina maana hawa Viongozi wa CCM leo ni wachawi?? Zamani si walikuwa vijana.
JF Salaam,
Naomba tujiulize, hivi vijana wengi wa Tanzania wako chama gani kati ya CCM na Chadema??
Njaa inawasumbua vijana wengi.....na uroho wa pombe za bei rahisi.
Njaa inawasumbua vijana wengi.....na uroho wa pombe za bei rahisi.
JF Salaam,
Naomba tujiulize, hivi vijana wengi wa Tanzania wako chama gani kati ya CCM na Chadema??
Wewe ni kijana au mzee kijana au Mzee
Kama zile za Monduli.Mwaka Mpya unakaribia maana kuna kambi ya Mishikaki ambako wewe ni coordinator
Swali jepesi, Chama cha zamani kina vijana wa zamani, chama kipya kina vijana wa kisasa
Khaa!! Huo utafiti uliufanyia wapi?? Vijana gani uliowahoji?? Utafiti ni fani sio unakunywa tu viroba kisha unaleta ulevi wako hapa. Hapo kwenye nyekundu Hivi unajua sera za Chadema katika uendeshaji wa njia kuu za uchumi au unaongea tu?? Acha ulevi Jifunze bana :cool2:Nimefanya Utafiti na nimebaini kuwa kati ya Vijana 10, Vijana 8 Wanaikubali Chadema pamoja na Ukawa kwa ujumla. Na hii ni kutokana na Chadema pamoja na Viongozi wake kuwapigania wananchi walio katika lindi la umasikini uliosababishwa na Serikali hii ya CCM inayohubiri Ubunafsishaji kwa miaka zaidi ya ishirini iliyopita.
Vijana wengi waame choshwa na hali ya kuendelea kuwa madaraja ya viongozi wa CCM kuvuka kila unapofika wakati wa Uchaguzi na kuwa Ngazi za kupandia juu kila uchaguzi.
Cha Msingi sasa ni Chadema/Ukawa kubuni utaratibu wa kuhakikisha vijana hawa wanatengenezewa utaratibu wa kushiriki katika ujenzi wa Chama kilichobora na katika harakati mbali mbali za kuleta Ukombozi wa mara ya pili.
Nawasilisha...