Update: Waziri Mwigulu Nchemba kupitia TBC 1 (19/08/2021) amesema kwamba mapatao ya mwezi uliopita yamezidi makusanyo ya miezi mingine yote toka 2017. Swali linabaki, katika hayo makusanyo, Tozo mpya ni trillion ngapi na kodi zingine za siku zote ni kiasi gani? Tunasubiri majibu
Mfumo wa forced account ni mfumo wa taasisi kufanya kazi bila kufuata sheria ya manunuzi ikiwemo standard za utoaji tenda. Kupitia forced mkurugenzi, madiwani na viongozi wengine watafungua makampuni ya ujenzi na kupewa tenda bila proper vetting. Lakini pia mfumo huu kwenye halmashauri...
Leo nimemskiliza Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Ummy Mwalimu akizungumza na amesisitiza Ujenzi wa Vituo vya Afya katika Tarafa 207 utatumia utaratibu wa FORCE ACCOUNT sio KANDARASI. Na ameagiza watumie Mafundi Ujenzi waliopo ktk eneo husika ili kutoa ajira...
Wakuu, Waziri wa Fedha, Dr Mwigulu Nchemba anazungumza na waandishi wa habari muda huu kuhusu miradi ya Serikali pamoja na Tozo za miamala ya simu pamoja na mafuta. Kuwa nami kukujuza yanayojiri ========== Mwigulu Nchemba-Waziri wa Fedha na Mipango =▷ Itakuwa aibu mtanzania yoyote alie hai...
Naona sasa tunakwenda sawa, ukiona tulivyovitaja hujavishuhudia maeneo unayoishi basi amini tu na tambua mambo hayo tunayafanya kwa maeneo jirani yako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.