FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,044
- 40,705
Ikiwa ni Takriban wiki 3 sasa tangu serikali ianze kuvuna kodi mpya iliyopewa jina ya ‘Tozo ya kizalendo’, nimepata shauku ya kujua walau kwa makadirio, serikali imashavuna kiasi gani cha kodi toka kwenye tozo hii mpya?
===============================
Update: Waziri Mwigulu Nchemba kupitia TBC 1 (19/08/2021) amesema kwamba mapatao ya mwezi uliopita yamezidi makusanyo ya miezi mingine yote toka 2017. Swali linabaki, katika hayo makusanyo, Tozo mpya ni trillion ngapi na kodi zingine za siku zote ni kiasi gani? Tunasubiri majibu
================================
Update: 20/08/2021
==================================
Update: 20/08/2021
Hatimae wamekubali kutoa takwimu
===============================
Update: Waziri Mwigulu Nchemba kupitia TBC 1 (19/08/2021) amesema kwamba mapatao ya mwezi uliopita yamezidi makusanyo ya miezi mingine yote toka 2017. Swali linabaki, katika hayo makusanyo, Tozo mpya ni trillion ngapi na kodi zingine za siku zote ni kiasi gani? Tunasubiri majibu
================================
Update: 20/08/2021
==================================
Update: 20/08/2021
Hatimae wamekubali kutoa takwimu
Mwigulu Nchemba: Serikali imekusanya bilioni 48 kutoka kwenye Tozo za miamala ya simu kwa wiki nne
Wakuu, Waziri wa Fedha, Dr Mwigulu Nchemba anazungumza na waandishi wa habari muda huu kuhusu miradi ya Serikali pamoja na Tozo za miamala ya simu pamoja na mafuta. Kuwa nami kukujuza yanayojiri ========== Mwigulu Nchemba-Waziri wa Fedha na Mipango =▷ Itakuwa aibu mtanzania yoyote alie hai...
www.jamiiforums.com