Swali :Taratibu za kisheria za kutangaza Matokeo ya Utafiti Nchini zipoje?

article

Senior Member
Sep 10, 2016
174
326
Utafiti ni jia ya kupata ufahamu mpya kuhusiana na jambo au kitu fulani katika muda fulani ndani au nje ya dunia.

Mtafiti baada ya kufanya utafiti wake kiutaratibu uwatangazia wahusika na wasiohusika matokeo ya utafiti wake kwa ajili ya utelezezaji,kuchukua hatua au kuwa na taarifa.

Tafsiri ya Matokeo ya Utafiti inaweza kuwa na matokea hasi au Chanya kwa mpokeaji kulingana na Uzito wa matokeo ya utafiti .

Ningependa kufahamishwa taratibu za kisheria nchini ambazo Mtafiti inabidi azifuate kabla ya kutangaza matokeo ya utafiti wake ili awe salama kisheria kama utangazaji wa matokeo ya utafiti wake yanaweza kuleta mtafaruko kwenye Jamii.

Ahsante sana,

Article.
 
PROF. KITILA MKUMBO KATIKA STAR TV. KIPINDI CHA TUONGEE

ZIKA YAZIKA UTAFITI

· Utafiti wowote duaniani una guidelines ambazo hutolewa kabla na inabidi zifuatwe

· Tafiti zote duniani husomwa na waliofanya utafiti, tulichunguza hiki tumeona hiki

· Utafiti ulihusisha watalaam, vifaa, fedha na matokeo serikali isitishe watafiti

· Serikali imeonekana inaogopa watalii zaidi kuliko afya za wananchi wake

· Tumepuuza makabrasha yote ya utafiti kwa tamko la nusu ukurasa la kisiasa la waziri.

· Serikali inaminya utaratibu wa wataalam kufanya utafiti.

· Taratibu za Kitafiti zinaendeshwa kitaalamu, kuna vyombo vimeundwa kisheria kama kuna kosa kwenye utafiti vitashughulikia sio maamuzi ya kisiasa

· Wizara inatunga sera, haihusiki na vibali au matokeo ya utafiti

· Dk Mwele Malecela alitangaza matokeo ya utafiti hakutangaza kuhusu uwepo wa mlipuko wa Zika

· Serikali izingatie taratibu za sheria, iheshimu taaluma na matokeo ya utafiti

· Shughuli za kitafiti zinahitaji uhuru wa kitaaluma wa kitafiti.
 
Umeandika hayo kwa mujibu wa sheria au kwa mujibu wa hisia binafsi??
Taasisi za serikali zinaanzishwa kwa sheria maalum, je unaijua sheria iliyoanzisha na inayosimamia NIMR??
 
Back
Top Bottom