Gangongine
JF-Expert Member
- Dec 31, 2015
- 3,854
- 1,776
Unauliza au unaeleza? Mbona hueleweki?kati ya CHADEMA na CCM nani alikuwa wakwanza kumuita Lowassa fisadi kama sio ccm wenyewe Chadema walikuwa wanafanya lobbying wakati huo kuigawanya nguvu yenu ccm na muda wote huo mbona hakufukuzwa chamani mpaka alioamua kujiunga na Chadema