WILLY GAMBA
JF-Expert Member
- Jul 5, 2011
- 211
- 87
Tukiondoa itikadi zetu za kivyama, hili la huyu jamaa bado sijapata jibu.
Ameibaka sifa yetu ya wa Tanzania wapenda amani wenye maadili ya rika. Najaribu kuingia vichwani mwa
viongozi wa M.agamba nione kinachowatuma kumkaribisha huyu kijana kwenye platform kubwa
kabisa kwao, lakini nashindwa kupata jibu.
Nawasilisha.
Ameibaka sifa yetu ya wa Tanzania wapenda amani wenye maadili ya rika. Najaribu kuingia vichwani mwa
viongozi wa M.agamba nione kinachowatuma kumkaribisha huyu kijana kwenye platform kubwa
kabisa kwao, lakini nashindwa kupata jibu.
Nawasilisha.