Farolito
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 11,634
- 26,373
Wakuu,
Tangu tukiwa tunasoma ngazi mbalimbali za elimu kuanzia shule ya msingi,sekondari na kuendelea tumekuwa tukisika urefu wa milima mfano Kilimanjaro ina urefu wa mita 5,895 kutoka usawa wa bahari(above sea level),ndege inapaa futi 30,00 kutoka usawa wa bahari nk.
1.Je ni kwanini urefu huu upimwe kutoka usawa wa bahari na sio usawa wa ardhi tunayoikanyaga?
2.Je huu usawa wa bahari haubadiliki?(constant)miaka yote hata katika kipindi hiki cha global warming ambapo mabarafu huyeyuka na kuongeza kina cha bahari?
3.Kama Kina cha bahari kimebadilika kuna haja ya kupitia upya urefu wa milima kwakua utakua pia umeathirika?
Karibuni kwa ufafanuzi.
Tangu tukiwa tunasoma ngazi mbalimbali za elimu kuanzia shule ya msingi,sekondari na kuendelea tumekuwa tukisika urefu wa milima mfano Kilimanjaro ina urefu wa mita 5,895 kutoka usawa wa bahari(above sea level),ndege inapaa futi 30,00 kutoka usawa wa bahari nk.
1.Je ni kwanini urefu huu upimwe kutoka usawa wa bahari na sio usawa wa ardhi tunayoikanyaga?
2.Je huu usawa wa bahari haubadiliki?(constant)miaka yote hata katika kipindi hiki cha global warming ambapo mabarafu huyeyuka na kuongeza kina cha bahari?
3.Kama Kina cha bahari kimebadilika kuna haja ya kupitia upya urefu wa milima kwakua utakua pia umeathirika?
Karibuni kwa ufafanuzi.