Swali ni Kama Mwigulu Ana Hoja na Sio Vinginevyo!!

Apr 27, 2006
26,588
10,375
- Wiki nne zilizopita Wa-Tanzania tuliamshwa na kishindo kikubwa katika kurasa za mbele za Gazeti moja maarufu sana hapa nchini, likilia kwa sauti kubwa sana kwamba Mbunge mmoja wa chama tawala amefanya faulo inayohusiana na msichana mdogo na hata ilipofahamika kwamba ukweli wa habari hiyo una utata bado gazeti likaendelea kulilia kwamba kiongozi yule na chama kizima anachotoka hawana maadili kwa kutoheshimu familia, taifa hili tukajikuta kwenye mjadala mzito sana na hasa kwenye mitandao ya kijamii as je hizi ishus za viongozi kutokuwa waaminifu kwa familia zao ni ishu ya taifa na maadili ya uongozi au ni ya binafsi na haihusu kabisa taifa? Sikuona kiongozi yoyote wa Upinzani akijitokeza kusema kuwa ni mambo ya binafsi hayahusu taifa.

- Juzi kwa mara nyingine tena Taifa hili tumeamshwa na maneno kama haya tena this time yakiwa yanamuhusu Kiongozi mkubwa wa Upinzani nchini na hata bungeni, kwa mara nyingine tena taifa tukaingia kwenye mjdala mzito kama hayo ni mambo ya taifa au ya binafsi, kwa mshangao mkubwa lile gazeti maarufu lililokuwa linalia sana kule nyuma kwa Kuhusu mbunge wa chama tawala na haya mambo, halikugusa kabisa habari hii kulikoni? Na kwa mara ya kwanza wamejitokeza wabunge wengi wa kutetea kwamba ni hoja za binafsi hazihusu Taifa!!

- Ishus muhimu kwa taifa huwa kuna tunazifikiria na kuzisema na kuna ambazo hatuzifikiri na hata kama tunazijua huwa hatutaki kuzisema lakini Demokrasia huwa ina njia zake za kuzileta ishus hizo ili zijadiliwe na kuwepo na msimamo wa kimsingi unaokubalika na taifa au jamii kwa ujumla, hili la matatizo ya viongozi kuwa sio waaminifu kwa familia zao Demokrasia sasa ina-demand tulijadili hili taifa, bila kuogopana wala kuangaliana usoni........!!


Inaendelea kwenye gazeti la Jambo Leo Jumapili. "UCHAMBUZI WA SIASA"

Le Mutuz
 
Je Nyerere alikuwa na Hoja kuandika kitabu akipinga uanzishwaji wa Tanganyika na G55, hoja ambayo haikudhibitiwa na aliyyekuwa waziri Mkuu wa kipindi hicho Mh. John Samwel Malecela? " Uongozi wetu na Hatma ya Tanzania.
 
Je Nyerere alikuwa na Hoja kuandika kitabu akipinga uanzishwaji wa Tanganyika na G55, hoja ambayo haikudhibitiwa na aliyyekuwa waziri Mkuu wa kipindi hicho Mh. John Samwel Malecela? " Uongozi wetu na Hatma ya Tanzania.

- There you go hoja ambayo haikuthibitishwa, hapa tuna hoja zilizothibitishwa au?

Le Mutuz
 
- There you go hoja ambayo haikuthibitishwa, hapa tuna hoja zilizothibitishwa au?

Le Mutuz
Je ni kweli mzee mzima alisilimu ili awe Mkuu wa kaya kwa vijisenti vilivyoletwa toka ughaibuni. Nimeandika kudhibitiwa/KUDHIBITIWA sio kuthibitishwa?Someni nyakati ninyi watoto wa vigogo. Mwingine hajui kwa nini wananchi wanaandamana. Wewe unazuka na hoja mfu. "Tumeonewa kiasi cha kutosha, Tumenyonywa kiasi cha kutosha Unyonge wetundio uliotufikisha hapo.... BY Nyerere J.K" Sasa Watanganyika hatudanganyiki Ng'o tumeanza kuchukua hatua.
 
mwigulu ni nani hata tupoteze muda kumjadili

- Swali sio Mwigulu au Tanzania Daima ni nani, lakini swali ni kama wana hoja ya kujadiliwa na Taifa maana Demokrasia inasema ukiona ishu haiondoki kila wakati inarudi rudi maana yake inatakiwa kujadiliwa na kupatiwa jawabu, sasa tukubaliane kama wastaarabu na wasomi if you Will je Kiongozi asiyekuwa muaminifu kwa familia yake anaweza kuwa muaminifu kwa wananchi waliompigia kura na Taifa?

- Kama haheshimu wale anaowaongoza ndani ya nyumba yake ataweza kuwaheshimu wale anaowaongoza nje ya nyumba yake?

Le Mutuz
 
Je ni kweli mzee mzima alisilimu ili awe Mkuu wa kaya kwa vijisenti vilivyoletwa toka ughaibuni. Nimeandika kudhibitiwa/KUDHIBITIWA sio kuthibitishwa?Someni nyakati ninyi watoto wa vigogo. Mwingine hajui kwa nini wananchi wanaandamana. Wewe unazuka na hoja mfu. "Tumeonewa kiasi cha kutosha, Tumenyonywa kiasi cha kutosha Unyonge wetundio uliotufikisha hapo.... BY Nyerere J.K" Sasa Watanganyika hatudanganyiki Ng'o tumeanza kuchukua hatua.

- Kaka una haki zote za kuanzisha thread inayohusu Mzee Malecela na kubadili Dini, hapa ni thread ya ishu ya Tanzania Daima na MWigulu, pole sana ndio Demokrasia kaka!!

Le Mutuz
 
Mwigulu ni Mbunge aliyetupasha habari kuwa Kuna wabunge wanatumbua pesa za bunge kwa shughuli maalum za kihawala Dubai.
Jamaa kasahau kilichotokea kwenye kampeni kule Igunga? Je ni nani alikurupushwa akifanya majambozi na totos ya mwanatimu mwenzake au tulidanganywa tu. Amesahau suala la mbungu anayetuhumiwa na denti wa miaka 16. Du kwa nini jamaa arushe mawe na yeye yuko kwenye nyumba ya viooo.
 
- Mwigulu na gazeti la Tanzania Daima wana hoja au hawana ndio ishu hapa sio vinginevyo!!

Le Mutuz

Huwa najiuliza sana kama kweli wewe ni mtoto wa yule mzee Malechela au alisingiziwa.. Huwa siamini kabisa kama mzee kichwa namna ile anaweza kuzaa kiazi cha aina yako..

Kama kwa umri wako unashindwa kabisa kutofautisha dhana zilizoko nyuma ya tuhuma za Kapuya na Mbowe basi wewe ni janga. Kwa kukusaidia hoja ya Tanzania Daima kwa Kapuya ilikuwa ni unyanyasaji wa kijinsia kwa binti mdogo tena mwenye matatizo na siyo uaminifu wake kwa familia yake. Hoja inayomuhusu Mbowe ni matumizi mabaya ya madaraka (kama ina mashiko) na kama utapenda ongeza huo ujinga wako wa uaminifu kwenye familia yake.
 
Jamaa kasahau kilichotokea kwenye kampeni kule Igunga? Je ni nani alikurupushwa akifanya majambozi na totos ya mwanatimu mwenzake au tulidanganywa tu. Amesahau suala la mbungu anayetuhumiwa na denti wa miaka 16. Du kwa nini jamaa arushe mawe na yeye yuko kwenye nyumba ya viooo.

- Kaka unajaribu kukwepa swali gumu kwa kutumia jibu rahisi, hapa tunajadili Taifa sio Mwigulu swali ni je Kiongozi asiye heshima kwa familia yake atakuwa na heshima kwa Taifa na wananchi waliomchagua je inawezekana hiyo?

Le Mutuz
 
Jamaa kasahau kilichotokea kwenye kampeni kule Igunga? Je ni nani alikurupushwa akifanya majambozi na totos ya mwanatimu mwenzake au tulidanganywa tu. Amesahau suala la mbungu anayetuhumiwa na denti wa miaka 16. Du kwa nini jamaa arushe mawe na yeye yuko kwenye nyumba ya viooo.

leta ushahidi
 
Huwa najiuliza sana kama kweli wewe ni mtoto wa yule mzee Malechela au alisingiziwa.. Huwa siamini kabisa kama mzee kichwa namna ile anaweza kuzaa kiazi cha aina yako..

Kama kwa umri wako unashindwa kabisa kutofautisha dhana zilizoko nyuma ya tuhuma za Kapuya na Mbowe basi wewe ni janga. Kwa kukusaidia hoja ya Tanzania Daima kwa Kapuya ilikuwa ni unyanyasaji wa kijinsia kwa binti mdogo tena mwenye matatizo na siyo uaminifu wake kwa familia yake. Hoja inayomuhusu Mbowe ni matumizi mabaya ya madaraka (kama ina mashiko) na kama utapenda ongeza huo ujinga wako wa uaminifu kwenye familia yake.

- Well lets say wewe ni mtoto wa baba yako kwa sababu una mawazo kama haya, ila wale wote tusiokuwa na mawazo kama yako basi huenda sio watoto wa baba zetu wamesingiziwa that is wasap, inajisema wazi na mapema wewe ni mtu aina gani hasa uwezo wako wa kufikiri na kuchambua ishus za Taifa kwamba wale wote wasio na mawazo kama yako basi baba zao wamesingiziwa, wooow!!

- Ok back to the point, kama ninakuelewa vizuri tuhuma za Kapuya hazikutihibishwa mpaka leo, lakini za Mbowe zimethibistishwa na pili kama za Kapuya zikithibishwa bado kuna kesi ya Kutumia madaraka vibaya kwa wote wawili, unasema uaminifu kwa familia zao sio ishu hapa, well that is your way of looking at it ila Demokrasia inatoa nafasi ka wengine kama mimi kufikiria tofauti na wewe na bado tukawa watoto wa baba zetu, ha1 ha! ha1 ha!

Le Mutuz
 
- Wiki nne zilizopita Wa-Tanzania tuliamshwa na kishindo kikubwa katika kurasa za mbele za Gazeti moja maarufu sana hapa nchini, likilia kwa sauti kubwa sana kwamba Mbunge mmoja wa chama tawala amefanya faulo inayohusiana na msichana mdogo na hata ilipofahamika kwamba ukweli wa habari hiyo una utata bado gazeti likaendelea kulilia kwamba kiongozi yule na chama kizima anachotoka hawana maadili kwa kutoheshimu familia, taifa hili tukajikuta kwenye mjadala mzito sana na hasa kwenye mitandao ya kijamii as je hizi ishus za viongozi kutokuwa waaminifu kwa familia zao ni ishu ya taifa na maadili ya uongozi au ni ya binafsi na haihusu kabisa taifa? Sikuona kiongozi yoyote wa Upinzani akijitokeza kusema kuwa ni mambo ya binafsi hayahusu taifa.

- Juzi kwa mara nyingine tena Taifa hili tumeamshwa na maneno kama haya tena this time yakiwa yanamuhusu Kiongozi mkubwa wa Upinzani nchini na hata bungeni, kwa mara nyingine tena taifa tukaingia kwenye mjdala mzito kama hayo ni mambo ya taifa au ya binafsi, kwa mshangao mkubwa lile gazeti maarufu lililokuwa linalia sana kule nyuma kwa Kuhusu mbunge wa chama tawala na haya mambo, halikugusa kabisa habari hii kulikoni? Na kwa mara ya kwanza wamejitokeza wabunge wengi wa kutetea kwamba ni hoja za binafsi hazihusu Taifa!!

- Ishus muhimu kwa taifa huwa kuna tunazifikiria na kuzisema na kuna ambazo hatuzifikiri na hata kama tunazijua huwa hatutaki kuzisema lakini Demokrasia huwa ina njia zake za kuzileta ishus hizo ili zijadiliwe na kuwepo na msimamo wa kimsingi unaokubalika na taifa au jamii kwa ujumla, hili la matatizo ya viongozi kuwa sio waaminifu kwa familia zao Demokrasia sasa ina-demand tulijadili hili taifa, bila kuogopana wala kuangaliana usoni........!!


Inaendelea kwenye gazeti la Jambo Leo Jumapili. "UCHAMBUZI WA SIASA"

Le Mutuz

Kwani hoja ya Mwigulu kwa Mh. Mbowe ilikuwa ni mahusiano au matumizi ya sio sahihi ya posho ya safari?
 
Wanaomshabikia Mwigulu wote wana kasoro, tuna mashaka nao.. Kama inafikia mwigulu anaratiba mauaji ili kwa kusaidiana na polisi wawabambikie mauaji hayo viongozi wa Chadema hapa akili iko wapi??

Kama mwigulu anaratibu viongozi wa Chadema wauawe, anatofauti gani na wale makaburu wa Afrika ya kusini waliomnyanyasa Mandela siku zote???

Mwigulu ana roho ya Shetani si mtu wa kawaida yule.
 
WanaJF,

Kwa muda mrefu sasa nimekuwa nikifanya uchunguzi kwa viongozi wa CHADEMA ili kuweza kutambua aliye msafi, ila matokeo ya uchunguzi wangu yamenishtua sana.

Uchunguzi wangu ulikuwa umezingatia protokali, hivyo nilianza na viongozi wa kitaifa kama awamu ya awali ya uchunguzi wangu.

Uchunguzi wangu ulimmilika mwenyekiti wa CHADEMA, bwana Mbowe, ambae kwa kipindi kirefu amekuwa akijipambanua kuwa ni muadilifu, ila kwa sasa mnafiki huyo ameanikwa mbele ya umma na wote tunajua kuwa ni mchafu na mfuska. Haya ni baadhi tu ya MAOVU yanayofanywa na fuska huyo:

1) Ni mwenyekiti pekee wa chama cha siasa nchini ambae ameficha pesa Uswis.

2) Ni mwenyekiti pekee hapa nchini anae tembea (mahusiano ya kingono) na wabunge wa viti maalumu (matumizi mabaya ya madaraka).

3) Ni mwenyekiti pekee ambae hapendi demokrasia, hapendi ushindani wa kisiasa na hapendi kusikia mawazo mapya na chanya.

Baada ya kupata haya matokeo nilijiridhisha kuhitimisha kuwa, CHADEMA ndio chama chenye mwenyekiti bomu, kilaza na goigoi.

Katibu mkuu wa CHADEMA, Dr Slaa, sidhani kama kuna haja ya kumpambanua kwa kuwa yeye mwenyewe amejianika kwa umma kuwa ni mtu ambae anaendekeza ngono,fisadi na pia ni mnafiki, mpika majungu na mlaghai.
 
Sitaki kuwa biased ila naomba niseme hivi, kwa wakati kama huu kwa Taifa letu sio sahihi sana kuanza kujadili maisha binafsi ya watu kuliko issues kubwa mbele yetu, kuna suala la gesi ambalo limeshapoteza maisha ya watu kule Mtwara, mafuriko na ajli za barabarani, Uchumi unadidimia na maisha yanazidi kuwa mabaya. Tunapojadili haya tuangalie na wingi wa zero zinazoongezeka mashuleni tukijiuliza ni nini hatma ya watoto wetu hawa? Tunapoyajadili hayo maisha yao binafsi tujiulize pia kuhusu KODI zinazoongezeka na kuzalishwa kila siku huku tukiendelea kuumia.

Issues za Malecela anauza mabinti wa Bongo, Mwigulu kafumaniwa na mke wa Mtu, Mbowe kamtafuna Mukya au Slaa sijui anatembeanaMchumba wa mtu, HAYANA NAFASI KWA SASA.
 
Hapa umewashika pabaya bavicha.
Cheo alichopewa mbowe kimemfanya ajiingize kwenye migogoro ya kindoa. Mbowe tunaomba ujiuzulu umekiaibisha chama.
 
Kwani hoja ya Mwigulu kwa Mh. Mbowe ilikuwa ni mahusiano au matumizi ya sio sahihi ya posho ya safari?

- Kwanza ni posho na pili ni uaminifu kwa familia na ndiyo ilikuwa hoja kubwa ya Tanzania Daima pale tu ilipoanza kueleweka wazi kwamba ukweli wa habari yake ina utata, gazeti lililia kwamba uaminifu ni tatizo vipi this time around mbona halikugusa kabisa hii ishu ya bungeni?

Le Mutuz
 
anapenda kula na wasichana wazuri akiwa anawaonga ubunge, nyumba hapo hapo anamshawishi watumie ela za wananchi kuvinjari dubai
 
Back
Top Bottom