Swali ni Kama Mwigulu Ana Hoja na Sio Vinginevyo!!

imagejpeg
 
chigwemisi mnahangaika sana kutafuta attention ya jamii, nikuambie kwa mara nyingine ni kwamba:-

Watanzania wameshawachoka ile mbaya na lichama lenu ccm. Ndio maana mkifanya kosa la kawaida kupelekwa polisi mnapigwa mawe ya kukuueni (Mabina style)
ni heri ukaisikia sauti leo ukabadilika.
 
Sitaki kuwa biased ila naomba niseme hivi, kwa wakati kama huu kwa Taifa letu sio sahihi sana kuanza kujadili maisha binafsi ya watu kuliko issues kubwa mbele yetu, kuna suala la gesi ambalo limeshapoteza maisha ya watu kule Mtwara, mafuriko na ajli za barabarani, Uchumi unadidimia na maisha yanazidi kuwa mabaya. Tunapojadili haya tuangalie na wingi wa zero zinazoongezeka mashuleni tukijiuliza ni nini hatma ya watoto wetu hawa? Tunapoyajadili hayo maisha yao binafsi tujiulize pia kuhusu KODI zinazoongezeka na kuzalishwa kila siku huku tukiendelea kuumia.

Issues za Malecela anauza mabinti wa Bongo, Mwigulu kafumaniwa na mke wa Mtu, Mbowe kamtafuna Mukya au Slaa sijui anatembeanaMchumba wa mtu, HAYANA NAFASI KWA SASA.

- Kaka kama unaona ishu haikuhusu haina sababu ya kusema waachie wanaoweza kuijadili ishu haiwezi kwenda mpaka bunge la jamhuri ukasema haihusu, tufike mahali Taifa hili tukubaliane kwamba kukosa uaminifu kwa Kiongozi wa Taifa kwa familia yake sio tatizo hata kidogo, maana historia inaonyesha anaweza kuwa muaminifu kwa Taifa, nionyeshe na mifano kama ipo, that is all pole sana mkuu ila Demokrasia ina-demand tujadili jili tatizo haliendi kokote!!

- Miaka michache nyuma niliwahi kuandika kuhusu posho za wabunge, wananachi hapa wakatukana sana kwamba sio ishu nikawaambia haiendi popote ipo na itakuja tena na tena mpaka itakapopatiwa ufumbuzi, umeona posho za wabunge ni ishu miaka nenda miaka rudi, sasa na hili nalo ndio kwanza limeanza la uaminifu wa viongozi kwa familia zao haliendi kokote mpaka limepata jawabu la Taifa!!

Le Mutuz
 
Mbona tayari Chadema ni maiti anayetembea ,anejikaza kisabuni.
 
- Wiki nne zilizopita Wa-Tanzania tuliamshwa na kishindo kikubwa katika kurasa za mbele za Gazeti moja maarufu sana hapa nchini, likilia kwa sauti kubwa sana kwamba Mbunge mmoja wa chama tawala amefanya faulo inayohusiana na msichana mdogo na hata ilipofahamika kwamba ukweli wa habari hiyo una utata
Sasa Willy, Si umwambie Kapuya aende Mahakamani ili ukweli uanikwe? Umemsikia Jaji Manento alivyosema kuhusu Kapuya?

bado gazeti likaendelea kulilia kwamba kiongozi yule na chama kizima anachotoka hawana maadili kwa kutoheshimu familia, taifa hili tukajikuta kwenye mjadala mzito sana na hasa kwenye mitandao ya kijamii as je hizi ishus za viongozi kutokuwa waaminifu kwa familia zao ni ishu ya taifa na maadili ya uongozi au ni ya binafsi na haihusu kabisa taifa?
Serikali imeshafungia magazeti mengi sana. Unataka kusema Serikali inaliogopa hilo gazeti kwa kiwango kikubwa sana kiasi cha kuacha Mbunge na Waziri mwandamizi na Mjumbe wa NEC aendelee kutangazwa kuwa ANASAMBAZA UKIMWI kwa vitoto vya miaka chini ya 18?

Sikuona kiongozi yoyote wa Upinzani akijitokeza kusema kuwa ni mambo ya binafsi hayahusu taifa.
Kulikuwa na umuhimu wa viongozi hao kujitokeza kutamka kama unavyotaka? Besides, huwa unapendezwa na kujitokeza kwa viongozi wa upinzani kutetea au kupinga kitu? Wangejitokeza na kusema kama unavyotaka nini kingetokea?

- Juzi kwa mara nyingine tena Taifa hili tumeamshwa na maneno kama haya tena this time yakiwa yanamuhusu Kiongozi mkubwa wa Upinzani nchini na hata bungeni, kwa mara nyingine tena taifa tukaingia kwenye mjdala mzito kama hayo ni mambo ya taifa au ya binafsi,
Ni kigezo gani umetumia kusema huo ni mjadala ni mzito? Yani jitu lenye hadhi ya Uprofessa, KUSAMBAZA UKIMWI KWA VITOTO VYA MIAKA 16 unataka kufananisha na ishu ya Mbowe na Mukya?
kwa mshangao mkubwa lile gazeti maarufu lililokuwa linalia sana kule nyuma kwa Kuhusu mbunge wa chama tawala na haya mambo, halikugusa kabisa habari hii kulikoni?
Hahahahahaaa......
Na kwa mara ya kwanza wamejitokeza wabunge wengi wa kutetea kwamba ni hoja za binafsi hazihusu Taifa!!
Wewe unaona ni hoja ya kitaifa? Kwa vigezo vipi?

- Ishus muhimu kwa taifa huwa kuna tunazifikiria na kuzisema na kuna ambazo hatuzifikiri na hata kama tunazijua huwa hatutaki kuzisema lakini Demokrasia huwa ina njia zake za kuzileta ishus hizo ili zijadiliwe na kuwepo na msimamo wa kimsingi unaokubalika na taifa au jamii kwa ujumla, hili la matatizo ya viongozi kuwa sio waaminifu kwa familia zao Demokrasia sasa ina-demand tulijadili hili taifa, bila kuogopana wala kuangaliana usoni........!!


Inaendelea kwenye gazeti la Jambo Leo Jumapili. "UCHAMBUZI WA SIASA"

Le Mutuz

Sijaona cha maana ulichoandika....
 
- Wiki nne zilizopita Wa-Tanzania tuliamshwa na kishindo kikubwa katika kurasa za mbele za Gazeti moja maarufu sana hapa nchini, likilia kwa sauti kubwa sana kwamba Mbunge mmoja wa chama tawala amefanya faulo inayohusiana na msichana mdogo na hata ilipofahamika kwamba ukweli wa habari hiyo una utata bado gazeti likaendelea kulilia kwamba kiongozi yule na chama kizima anachotoka hawana maadili kwa kutoheshimu familia, taifa hili tukajikuta kwenye mjadala mzito sana na hasa kwenye mitandao ya kijamii as je hizi ishus za viongozi kutokuwa waaminifu kwa familia zao ni ishu ya taifa na maadili ya uongozi au ni ya binafsi na haihusu kabisa taifa? Sikuona kiongozi yoyote wa Upinzani akijitokeza kusema kuwa ni mambo ya binafsi hayahusu taifa.

- Juzi kwa mara nyingine tena Taifa hili tumeamshwa na maneno kama haya tena this time yakiwa yanamuhusu Kiongozi mkubwa wa Upinzani nchini na hata bungeni, kwa mara nyingine tena taifa tukaingia kwenye mjdala mzito kama hayo ni mambo ya taifa au ya binafsi, kwa mshangao mkubwa lile gazeti maarufu lililokuwa linalia sana kule nyuma kwa Kuhusu mbunge wa chama tawala na haya mambo, halikugusa kabisa habari hii kulikoni? Na kwa mara ya kwanza wamejitokeza wabunge wengi wa kutetea kwamba ni hoja za binafsi hazihusu Taifa!!

- Ishus muhimu kwa taifa huwa kuna tunazifikiria na kuzisema na kuna ambazo hatuzifikiri na hata kama tunazijua huwa hatutaki kuzisema lakini Demokrasia huwa ina njia zake za kuzileta ishus hizo ili zijadiliwe na kuwepo na msimamo wa kimsingi unaokubalika na taifa au jamii kwa ujumla, hili la matatizo ya viongozi kuwa sio waaminifu kwa familia zao Demokrasia sasa ina-demand tulijadili hili taifa, bila kuogopana wala kuangaliana usoni........!!


Inaendelea kwenye gazeti la Jambo Leo Jumapili. "UCHAMBUZI WA SIASA"

Le Mutuz

Huwezi kulinganisha suala la Kapuya na Suala la Mbowe. Kapuya alimchukua mtoto (Under 18 au kisheria alichukua mtoto ambaye kiakili hajajitegemea).
 
anapenda kula na wasichana wazuri akiwa anawaonga ubunge, nyumba hapo hapo anamshawishi watumie ela za wananchi kuvinjari dubai
umeandika nini sasa? Aibu ndugu yangu kaa kimya ufiche ujinga wako.
 
Mwigulu ni Mbunge aliyetupasha habari kuwa Kuna wabunge wanatumbua pesa za bunge kwa shughuli maalum za kihawala Dubai.
mbowe aliomba ruhusa kwa katibu wa bunge naye akaridhia..mbowe kumchafua ni kazi sana especially kwenye issue za hela sababu ukoo wake una hela kabla hata kikwete hajtoka msoga kulima viazi na kuja daslam
 
Hapa umewashika pabaya bavicha.
Cheo alichopewa mbowe kimemfanya ajiingize kwenye migogoro ya kindoa. Mbowe tunaomba ujiuzulu umekiaibisha chama.

Kashfa ya Bill Clinton na Monica Lewinsky mnaikumbuka?
 
Sasa Willy, Si umwambie Kapuya aende Mahakamani ili ukweli uanikwe? Umemsikia Jaji Manento alivyosema kuhusu Kapuya?


Serikali imeshafungia magazeti mengi sana. Unataka kusema Serikali inaliogopa hilo gazeti kwa kiwango kikubwa sana kiasi cha kuacha Mbunge na Waziri mwandamizi na Mjumbe wa NEC aendelee kutangazwa kuwa ANASAMBAZA UKIMWI kwa vitoto vya miaka chini ya 18?

Kulikuwa na umuhimu wa viongozi hao kujitokeza kutamka kama unavyotaka? Besides, huwa unapendezwa na kujitokeza kwa viongozi wa upinzani kutetea au kupinga kitu? Wangejitokeza na kusema kama unavyotaka nini kingetokea?

Ni kigezo gani umetumia kusema huo ni mjadala ni mzito? Yani jitu lenye hadhi ya Uprofessa, KUSAMBAZA UKIMWI KWA VITOTO VYA MIAKA 16 unataka kufananisha na ishu ya Mbowe na Mukya? Hahahahahaaa...... Wewe unaona ni hoja ya kitaifa? Kwa vigezo vipi?



Sijaona cha maana ulichoandika....

- Woow kaka unanitatanisha kidogo hujaona cha maana nilichoandika lakini umekuja kujibu tena word to word, umenitisha sana kwa hiyo kwa majibu haya mapesi basi hoja ifungwe maana wewe mkuu wa Dunia hujaona cha maana kilichaondikwa, duh!! Sasa imagine wewe ni Kiongozi wa taifa!!

Le Mutuz
 
Jamani nani mwenye picha yeyote ya kapuya aitupie maana huyo ndie msafi aliebaki ccm lol!
 
- Kaka unajaribu kukwepa swali gumu kwa kutumia jibu rahisi, hapa tunajadili Taifa sio Mwigulu swali ni je Kiongozi asiye heshima kwa familia yake atakuwa na heshima kwa Taifa na wananchi waliomchagua je inawezekana hiyo?

Le Mutuz
Hivi, kiongozi gani amekosa heshma?
 
chigwemisi mnahangaika sana kutafuta attention ya jamii, nikuambie kwa mara nyingine ni kwamba:-

Watanzania wameshawachoka ile mbaya na lichama lenu ccm. Ndio maana mkifanya kosa la kawaida kupelekwa polisi mnapigwa mawe ya kukuueni (Mabina style)
ni heri ukaisikia sauti leo ukabadilika.

- Duh poleni sana huu ulikuwa mwaka mbaya sana, maana matumizi ya mahesabu yenu ni ishu, uchaguzi wa chama ni ishu na sasa haya mengine aibu sana mkuu kwa chama cha ukombozi!!

Le Mutuz
 
- Woow kaka unanitatanisha kidogo hujaona cha maana nilichoandika lakini umekuja kujibu tena word to word, umenitisha sana kwa hiyo kwa majibu haya mapesi basi hoja ifungwe maana wewe mkuu wa Dunia hujaona cha maana kilichaondikwa, duh!! Sasa imagine wewe ni Kiongozi wa taifa!!

Le Mutuz
Asante kwa kuanzisha thread ya kufurahisha genge...Nasisitiza, hakuna cha maana ulichoandika
 
And who is this mwigulu in this country??? Help pulizzzzzzzzz! Rubbish!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
- Kaka unajaribu kukwepa swali gumu kwa kutumia jibu rahisi, hapa tunajadili Taifa sio Mwigulu swali ni je Kiongozi asiye heshima kwa familia yake atakuwa na heshima kwa Taifa na wananchi waliomchagua je inawezekana hiyo?

Le Mutuz

Nimepita tu, sikufahamu wewe, lakini nimeelewa kwanini wanakuponda. Nilisoma ile sms anayotuhumiwa nayo Mh Mbowe. Sikuona hata dalili ya kukosa uaminifu kwa familia.Nakumbuka pia ilikuwa addressed kwa msimamizi wa shughuli za bunge or so, na siyo kwa mwanamke . But I know what you are trying to do. Maisha ya kusaka mkate ni magumu sana dogo, keep it up !
 
kama mbowe angekuwa ameficha hela uswiss,zitto angetaja majina siku ambayo aliyapata(kama kweli anayo).
 
Back
Top Bottom